na wakishusha zaidi utaenda 20pGharama za vifurushi na ukata vimenifanya nibadili resolution ya kuview Youtube kutoka 720HD to 144
Na umasikini huu kuna mtu ananichukia na kuniundia magenge!! Walimwengu sio bora Wali-maharage
View attachment 3013472
Pole sana wa jina kuna wakati maisha ni ups and downsWajina yaan si poa