Nilipoiona tu 'Signal' moja iliyofanywa Kiutaalam Uwanjani, nilijua tu kinachofuata ni Goli la Jioooooooooooniiiiiiii....

Nilipoiona tu 'Signal' moja iliyofanywa Kiutaalam Uwanjani, nilijua tu kinachofuata ni Goli la Jioooooooooooniiiiiiii....

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani tutimize Miaka yetu 89 Jumapili hii ya tarehe 11 Februari, 2024 halafu tuangushe tena Mbili zingine? Unadhani Wanachama na Mashabiki watatuelewa?

Na siku ni mwendo tu wa kutoa / kupeana Signal Uwanjani kwa Mchezaji mwenye Mahaba nasi au Wenzake Wawili Watatu ili wafanye kila wawezalo kwa Kukosea kwa Makusudi na Kuchomesha ili Ndugu na Marafiki Wetu wapate wakitakacho na Wasiumbuke hapa Mjini.

ANGALIZO

Timu inayosemwa hapa na GENTAMYCINE ni ile ya Nottingham Forest FC ya nchini Uingereza ambayo kiukweli SIIPENDI na hata Mashabiki wao wanalijua hili.

Kila la Kheri Wazee wa Signal K'Koo.
 
Inacho inacho inachocho inachochoma. watu imewachoma sana, wameumia sana. Poleni kwa maumivu
 
yanga kama kijiti cha hii ligi kinaelekea simba
Mkuu huu Uzi naizungumzia hasa Klabu ya Nottingham Forest FC ya nchini Uingereza na siyo hivi Vilabu vyenu Vikongwe vya Tanzania vya Yanga na Simba sawa?
 
yaani baada ya mzize kutoa kile kitu kilichowekwa kwenye lile taulo la kipa pale golini, nikajisemea hapa chuma inaaingia mda si mrefu.

mzize mbali na kuwa mchezaji anafaa pia kuwa mganga.
Na hii Red Eyes🤣
 
Yaani tutimize Miaka yetu 89 Jumapili hii ya tarehe 11 Februari, 2024 halafu tuangushe tena Mbili zingine? Unadhani Wanachama na Mashabiki watatuelewa?

Na siku ni mwendo tu wa kutoa / kupeana Signal Uwanjani kwa Mchezaji mwenye Mahaba nasi au Wenzake Wawili Watatu ili wafanye kila wawezalo kwa Kukosea kwa Makusudi na Kuchomesha ili Ndugu na Marafiki Wetu wapate wakitakacho na Wasiumbuke hapa Mjini.

ANGALIZO

Timu inayosemwa hapa na GENTAMYCINE ni ile ya Nottingham Forest FC ya nchini Uingereza ambayo kiukweli SIIPENDI na hata Mashabiki wao wanalijua hili.

Kila la Kheri Wazee wa Signal K'Koo.
ha ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani tutimize Miaka yetu 89 Jumapili hii ya tarehe 11 Februari, 2024 halafu tuangushe tena Mbili zingine? Unadhani Wanachama na Mashabiki watatuelewa?

Na siku ni mwendo tu wa kutoa / kupeana Signal Uwanjani kwa Mchezaji mwenye Mahaba nasi au Wenzake Wawili Watatu ili wafanye kila wawezalo kwa Kukosea kwa Makusudi na Kuchomesha ili Ndugu na Marafiki Wetu wapate wakitakacho na Wasiumbuke hapa Mjini.

ANGALIZO

Timu inayosemwa hapa na GENTAMYCINE ni ile ya Nottingham Forest FC ya nchini Uingereza ambayo kiukweli SIIPENDI na hata Mashabiki wao wanalijua hili.

Kila la Kheri Wazee wa Signal K'Koo.
The same kama Signal ilivyotolewa kule visiwa vya karafuu na yule mchezaji mwenye mahaba aluvyompa kipa tuta. Malipo hapa hapa. Hii inaitwa KALMA[emoji10]
 
The same kama Signal ilivyotolewa kule visiwa vya karafuu na yule mchezaji mwenye mahaba aluvyompa kipa tuta. Malipo hapa hapa. Hii inaitwa KALMA[emoji10]
Siyo KALMA bali ni Karma sawa?
 
Back
Top Bottom