Nilipokuwa Vakesheni hili lilinikwaza

Cancun Beach...huyo ni frendi nilimuokota huko akitoka Sweden
 
Labda mguu wa mungu mkuu, si umeona palivyotulia hapo mahali
 
Beach za wenzetu balaa...kuna vitrekta vya kufagia uchafu kila dakika...mchanga kama sukari
 
sharubu za rafikiyo....ka brash lililoisha...khaaa
 
sharubu za rafikiyo....ka brash lililoisha...khaaa

Hujamwona mkewe....ndiye aliyetuunganisha mimi nilikonsetreti zaidi na waifu wake...lenyewe mawiski 24 hrs mke anakunywa Dr.Pepper tu....huyu hapa...Mmarangu

 
haha haaaaaaaa una macho makubwa bibiee.......kingne ulichoona?
mguu wa mungu uo!!

he he....hujambo wewe.....kibaba kinaonekana kiko fulu kinywaji....masikini dada yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…