Maisha haya bwana magumu saana.
Nilikuwa na mwanamke wangu mzuri ambaye nilipendana naye saana. Huyo mwanamke alikuwa msaada mkubwa saana kwangu. Alikuwa ni mtu mwenye akili ya kufikiria mafanikio saana alikuwa hawezi kufanya kitu bila kunishirikisha.
Na kuna siku kabisa nilimwambia nina plan ya kuanzisha biashara ya nguo za watoto. Nilikuwa sina mtaji kabisa akanipa wazo la kununuwa watoto wa mbuzi wa 4 alafu tunawakuza wale watoto wa mbuzi mwaka kesho tunauza kila mbuzi laki moja au Chini ya laki moja kitu ambacho tulikuja kufanikiwa nikapata mtaji uo, Pamoja na mazuri hayo.
Familia yangu walikuwa wanamchukia huyo sister saana hawakutaka mimi niwe naye kabla yangu huyo mtoto wakike haliwai kuwa kwenye mausiano na wanaume tofauti na kibaya zaidi kila mausiano yake yalikuwa yanatambulika saana kijijini kwetu kisa hali yake ya kupenda usupar star tena wanaume mabishoo ndo alikuwa anatembea nao saana wakamchukulia ni malaya sasa habari hizo Familia yangu walizipata wakawa wanamuandama mtoto wakike eti hawamtaki asijekuniambukiza magonjwa. Nilijaribu kutetea mtoto wakike ilishindikana. Mwishowe tukaachana.
Sasa tulivyo achana naye sasa hivi aliolewa na mwanaume mwingine kizuri zaidi maisha yao yako Good saana wana biashara yao
Na kibaya zaidi ni mjamzito. Mimi huku mambo yangu yanazidi kuaribika na nilipata mwanamke ambaye ni chawivu yaani mwanamke ana wivu saana yaani kila siku ni ugomvi tu.
Saa zingine Familia zinatuaribia saana.
Nilikuwa na mwanamke wangu mzuri ambaye nilipendana naye saana. Huyo mwanamke alikuwa msaada mkubwa saana kwangu. Alikuwa ni mtu mwenye akili ya kufikiria mafanikio saana alikuwa hawezi kufanya kitu bila kunishirikisha.
Na kuna siku kabisa nilimwambia nina plan ya kuanzisha biashara ya nguo za watoto. Nilikuwa sina mtaji kabisa akanipa wazo la kununuwa watoto wa mbuzi wa 4 alafu tunawakuza wale watoto wa mbuzi mwaka kesho tunauza kila mbuzi laki moja au Chini ya laki moja kitu ambacho tulikuja kufanikiwa nikapata mtaji uo, Pamoja na mazuri hayo.
Familia yangu walikuwa wanamchukia huyo sister saana hawakutaka mimi niwe naye kabla yangu huyo mtoto wakike haliwai kuwa kwenye mausiano na wanaume tofauti na kibaya zaidi kila mausiano yake yalikuwa yanatambulika saana kijijini kwetu kisa hali yake ya kupenda usupar star tena wanaume mabishoo ndo alikuwa anatembea nao saana wakamchukulia ni malaya sasa habari hizo Familia yangu walizipata wakawa wanamuandama mtoto wakike eti hawamtaki asijekuniambukiza magonjwa. Nilijaribu kutetea mtoto wakike ilishindikana. Mwishowe tukaachana.
Sasa tulivyo achana naye sasa hivi aliolewa na mwanaume mwingine kizuri zaidi maisha yao yako Good saana wana biashara yao
Na kibaya zaidi ni mjamzito. Mimi huku mambo yangu yanazidi kuaribika na nilipata mwanamke ambaye ni chawivu yaani mwanamke ana wivu saana yaani kila siku ni ugomvi tu.
Saa zingine Familia zinatuaribia saana.