Nilisema kuwa mkutano wa SADC na EAC juu ya mgogoro wa DRC ni bure na kupoteza muda pamoja na fedha. M23 wanaendelea kuvimba hakuna wa kuwazuia

Nilisema kuwa mkutano wa SADC na EAC juu ya mgogoro wa DRC ni bure na kupoteza muda pamoja na fedha. M23 wanaendelea kuvimba hakuna wa kuwazuia

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Marais na wawakilishi wao waliokaa Dar es salaam tarehe 08 Febuari kujadili amani ya Kongo ni bure kabisa. Nilisema hili mapema kabisa ingawa baadhi ya watu waliniona niko wrong lakini sasa imejionyesha.

Sasa sijui unyonge au akili finyu. Inakuwaje kikundi cha waasi chenye watu wachache, kinachojiendesha from abroad kiwe na nguvu kuliko serikali inayoungwa mkono na majeshi ya nchi nyingi za Afrika?

Marais wa SADC na EAC mnashida gani?
 
watutsi tuko vizurii mazeee dah...show tunayoipiga sio ya karne hiii, jeshi la wazee tz sijui limeishia wapi jamanii,wakongoman nao wameishia kukata maunoo tuu..
 
Back
Top Bottom