Sikulazii damu nawewe!.
shenyento ukilihusudu, litakuwasha kama upupu!
tunza likipepeo lako, wahuni tunalitupia mimacho
kichunge kama mboni, ukizubaa siku za mwisho huzioni!.
Ukikileta kwa muhuni, tunakitufua kama mbuni
Wengine huita ukuni, angalia lisikuletee huzuni
Tunza chako kiyeye, kimsubirie mumewe
ukizubaa kwa ma mwewe, tutakupeperusha to yeye!.