Nilishaota nimekuwa Malaika ninaeishi Pangoni tena pango ninalolijua, na kupaa kwa kasi hewani bila mbawa...

Nilishaota nimekuwa Malaika ninaeishi Pangoni tena pango ninalolijua, na kupaa kwa kasi hewani bila mbawa...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Ni kweli niliota ndoto ya kweli kama ya dakika tatu hivi nilikuwa juu ya pango lililopo ktk jiwe moja refu mlimani ukiwa juu ya jiwe kuna pango, sasa nilikuwa katika hali ya Umalaika nikamwona mwanafunzi wa shule ya msingi anapita basi nilipaa toka juu ya pango like kwa kasi nikamfikia tukaanza kuongea.

Kusema kweli furaha niliyokuwa nayo kwa kupaa kule ni Muumba tu ajuae.sasa sijajua ndoto ile ilimaanisha nini imekuwa miaka minne sasa imepita tangu niiote.
 
Back
Top Bottom