Nilishuhudia mgonjwa akijirusha toka ghorofani Hospital ya Kairuki, Dar

Hyo hospital ya kairuki wazembe kwanini wasiweke madirisha ambayo mgonjwa hawezi kupita, hafu watu hukimbilia hyo hospital wakati ubora wake sio kivile hata usafi huwa ka inanuka hivi, mazingira yake tu ukienda unazidiwa
 

tumaini ni tiba zaidi 60% kuliko dawa anayopewa mtu.

kama uliishaugua hata kichwa ukisafiri ile hali ya kuiona farmacy tu mjini karibu na stand huwa kuna nguvu inakuingia na kujikuta kama kichwa kinapuuza maumivu hivi.
 
Uyo sababu ya kiuchumi sidhani,inasemekana sababu za kiafya,ndugu yake anasema maleria Kali ilimpanda kichwani,Rest in peace
 
Hyo hospital ya kairuki wazembe kwanini wasiweke madirisha ambayo mgonjwa hawezi kupita, hafu watu hukimbilia hyo hospital wakati ubora wake sio kivile hata usafi huwa ka inanuka hivi, mazingira yake tu ukienda unazidiwa
Hiyo hospital ya ovyo .sitasahau bado kidogo nimpoteze Kaka yangu kwa uzembe wao
 
Umenena. Kosa yoote lakini uombe uwe na afya njema. Kama hujaugua kisawasawa huwezi kujua umuhimu wa afya au dhiki wanazokumbana anazokumbana nazo mtu mgonjwa.
 
Uyo sababu ya kiuchumi sidhani,inasemekana sababu za kiafya,ndugu yake anasema maleria Kali ilimpanda kichwani,Rest in peace
Unajua mgonjwa inatakiwa mda wote alindwe na kufarijiwe mwenyewe nimewahi kulazwa, ikafika mda nawaza nipande juu nijirushe uzuri dirishani nilikuwa siwezi kupita, so wagonjwa Wana haki ya kuangaliwa mda wote na hospital iweke madirisha ambayo mtu hapiti
 

Umeniongzea kitu mkuu.
 
tumaini ni tiba zaidi 60% kuliko dawa anayopewa mtu.

kama uliishaugua hata kichwa ukisafiri ile hali ya kuiona farmacy tu mjini karibu na stand huwa kuna nguvu inakuingia na kujikuta kama kichwa kinapuuza maumivu hivi.

Kweli hope ndo Kila kitu.
 
Hakika afya njema na ilyo bora ndio mtaji mkubwa na kila kitu kwa mwanadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…