Nilisikia kwamba eti...

Ray van anakuchukua hivi
Ray van Boy hili jibu litanifanya niweke silaha chini maana sitaki kukurubuni mdogo wangu.
Nmeskia ray van huyu dogo wa juz akikuzd kete kwa joana
Na ukamkosa bhas

Sakayo,espy,shunie,emmyta
Wanakuja na debe la mipasho
Mlangon kwako msanii mwalikwa n
Hadja kopa
 
Nmeskia ray van huyu dogo wa juz akikuzd kete kwa joana
Na ukamkosa bhas

Sakayo,espy,shunie,emmyta
Wanakuja na debe la mipasho
Mlangon kwako msanii mwalikwa n
Hadja kopa
Hivi ulishatoka kolomije au unamalizia kuvuna pamba
 
Nmeskia ray van huyu dogo wa juz akikuzd kete kwa joana
Na ukamkosa bhas

Sakayo,espy,shunie,emmyta
Wanakuja na debe la mipasho
Mlangon kwako msanii mwalikwa n
Hadja kopa
Kuna utata hapo
Nani akizidiwa [emoji3][emoji3]
 
Hahaaaaa imewabamba hiyo
Nasikia kafika juzi lakinu mpaka leo kila kona na chimbo zote anazijua hadi kawa notable member kwa siku 3
Haa haa yan hata me nlishangaaa

Ila nmeskia et next week atakuja na
Nyingine kubwa kuliko hii n chamtoto
 
Nilisikia kwamba eti binadamu anatakiwa alale usiku masaa nae ili awe na afya timilifu, sasa nyie mlio macho saivi masaa nane yanaisha saa ngapi?
 
Nilisikia kwamba eti binadamu anatakiwa alale usiku masaa nae ili awe na afya timilifu, sasa nyie mlio macho saivi masaa nane yanaisha saa ngapi?
Anatakiwa alale masaa nane lakini siyo yote kwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…