hakua tayari kunifata kwenye imani yangu ma mimi sikua tayari kufuata imani yake. Ndo mana alitaka tuendele kujirushaa bila ndoa wakati mm tayari nataka kurudi kwa mungu[/
Kamwombe msamaha yaishe na pia nenda kwenye maombi ukaombewe ila usirudiane naye kimapenzi wala usimuoe kwani ameshaonyesha ni mshirikina na sidhani utakubali kuoa mke ambaye anafanya ushirikina.
hakua tayari kunifata kwenye imani yangu ma mimi sikua tayari kufuata imani yake. Ndo mana alitaka tuendele kujirushaa bila ndoa wakati mm tayari nataka kurudi kwa mungu
Pole yako!
rate haiwezi kubaki constant na hii inatokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na stress za maisha, pressure za kazi, umri, mvuto wa uliyenae etc...kubaliana na hali halisi tu kwamba kuna wakati kiwango kinaweza kushuka and work on it if possible... usishangae kukuta zamani ulikuwa unapiga goli 10 mpaka unatoa upepo, but now probably unaenda 2 mbili tu...
anapenda ngono balaaaaa kama ninavyopenda mm waungwana! Nilikuwa namsugua kweli kweli. Kabla haya hayajotea hakusita kuniambia kuwa ameruka sana na washkaji but walikuwa wanampotezea mda,, alikuwa hajuwi kuwa kuna kitu inaitwa climax!
hakua tayari kunifata kwenye imani yangu ma mimi sikua tayari kufuata imani yake. Ndo mana alitaka tuendele kujirushaa bila ndoa wakati mm tayari nataka kurudi kwa mungu
kama umeamua kurudi kwa Mungu wee rudi na kama utarudi kiukweli basi hata kama dada kakuroga vitadunda na utapona.Tatizo umemuacha dada kwa madai ya kurudi kwa Mungu halafu ukachukua mtu mwingine,bora ungeoa angekuelewa.Ila pole mwaya maana umesema unapenda hayo mambo na dada na sasa huyawezi.Ila usikimbilie kuwa umelogwa inawezekana una matatizo mengine.
We jidanganye tu. FYI hao wengine walikuwa wananganywa kama ulivyodanganywa. Eti alikuwa hajawahi kufika kileleni? Chezeya mwanamke weye?
kama umeamua kurudi kwa Mungu wee rudi na kama utarudi kiukweli basi hata kama dada kakuroga vitadunda na utapona.Tatizo umemuacha dada kwa madai ya kurudi kwa Mungu halafu ukachukua mtu mwingine,bora ungeoa angekuelewa.Ila pole mwaya maana umesema unapenda hayo mambo na dada na sasa huyawezi.Ila usikimbilie kuwa umelogwa inawezekana una matatizo mengine.
Thanx. Ukweli nimeoa na mambo yanaenda shwari kabisa. This happened about ... Yrs ago!
hakua tayari kunifata kwenye imani yangu ma mimi sikua tayari kufuata imani yake. Ndo mana alitaka tuendele kujirushaa bila ndoa wakati mm tayari nataka kurudi kwa mungu
Wewe ulikuwa time waster, umejuaje kama performance ni weak kama hukuendelea kugonga mademu wengine na wewe umesema unataka kurudi kwa mungu.
Pili, hizo tofauti ya dini hazikujulikana hapo mwanzo
Nitadanywa kwenye fani nyengine sio kwenye sex, believe wen it comes to sex, am an expert! No joking!
Wewe ulikuwa time waster, umejuaje kama pe
rformance ni weak kama hukuendelea kugonga mademu wengine na wewe umesema unataka kurudi kwa mungu.
Pili, hizo tofauti ya dini hazikujulikana hapo mwanzo
swali langu niliuliza "nilistahili malipo haya?". Tulijuana mapema kuwa dini ni tofauti bt initially lengo halikuwa kuoana sote tulijua hilo. Bt nilitaka nihalalishe kwa ndoa.
Dogo1...So,its just stories eh?me nlidhani this is the present situation,kumbe yeshapita?...ok,tusimulie sasa uliovercome vipi hiyo hali?