Nilitaka kurogwa na bibi yake Dura

Hahahahaha ila dura kiboko wa Pembe za Panzi maana jamaa bado kumfanyia kihoja kimoja tu sidhan km hajatembea na muke wa jamaa
Wajukuu walishamalizana maana pamoja na kwamba dura hakwenda kumuona mwenzie alivyokamatwa na police kwa sababu yake lakini pembe za panzi alimsamehe dura.Sema dura hajui kupika anaweka chumvi nyingi kwenye chakula
 
Huyu jamaa anajua anaandika nini,yaani alivyo yakosea maneno jana,leo anaandika yaleyale.Halafu,hivi visa vyake kuna kitu vinalenga jiulize,kwanini wachaguliwe wavulana badala ya wasichana kupika kwenye mbio za mwenge?Kama ni chakula cha kijiji kizima ndio kipikwe na hao vijana wanne tu?Lazima kuna kitu anakisema katikati ya hivi visa vyake.Maadamu vinapunguza stress wacha tuburudike
 
Yeye ndio anajua kupika kijiji kizima,anamshinda hata dura,abudala,sipiriyani na sosipita ndio maana alichaguliwa kupika chakula cha wageni wa mbio za mwenge.Dura anawekaga chumvi nyingi
 
Mimi nimependa tu unavoweka question marks kila mahali
Hahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…