Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Rais Samia
Shikamooo
Ikikupendexa tunaomba ubafikishe viongozi kadhaa wa juu wa nhif
Wakitangulizwa na bodi yao
Wananchi wanateseka sana na hizi huduma za nhif sjui kama washakufikishia
Kadi zimekuwa shuhuli hizo bei zao sijui wanataka matajiri tu ndio waishi anyway bana kila la kheri
Shikamooo
Ikikupendexa tunaomba ubafikishe viongozi kadhaa wa juu wa nhif
Wakitangulizwa na bodi yao
Wananchi wanateseka sana na hizi huduma za nhif sjui kama washakufikishia
Kadi zimekuwa shuhuli hizo bei zao sijui wanataka matajiri tu ndio waishi anyway bana kila la kheri