Nilitegemea uhitaji wa katiba mpya uwe kipaumbele cha kila mwana-CCM ili madhila ya Awamu ya Tano yasijirudie

Nilitegemea uhitaji wa katiba mpya uwe kipaumbele cha kila mwana-CCM ili madhila ya Awamu ya Tano yasijirudie

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya.

Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya uongozi wake. Lkn cha muhimu zaidi rais awajibishwe pale atakapobainika kakosea.

Katiba hii ni mbovu, inampa rais mamlaka yote halafu hawajibiki kwa lolote. Tuliona jinsi JPM alivyoitumia hii katiba kunyanyasa viongozi wastaafu, viongozi wenzake ndani ya chama, wapinzani, viongozi wa dini na hata viongozi wa chama chake.

JPM hakuishia hapo, alibinya waziwazi haki za watumishi wa umma, wafanyabiashara na wakulima. Alikuwa akisema amesema hakuna wa kudhibiti maagizo na amri zake. Nchi haiendeshwi namna hii.

Nafahamu waliopo mamlakani hivi sasa wanaona wamepata na huwaambii kitu. Katiba hii mbovu wanayoona inawabeba hivi sasa itawatesa siku zijazo. Nape, mzee Makamba, Kinana, Kikwete na January Makamba bado wana kumbukumbu juu ya mateso waliioyapata awamu ya 5.

Leo kwako kesho kwa mwenzio (kanuni ya Karma).
 
Jinai huwa haiozi. Hayo yanasemwa na Wabobezi wa Sheria Duniani.

Kama kweli kulikuwa na madhila au Jinai wakati wa Hayat Rais J.P.Magufuli-pelekeni madai yenu Mahakamani. Zaidi ya hapo, muache kumtafuta mchawi wa uozo wa wengine.

Rudisha kadi.
 
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya.

Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya uongozi wake. Lkn cha muhimu zaidi rais awajibishwe pale atakapobainika kakosea.

Katiba hii ni mbovu, inampa rais mamlaka yote halafu hawajibiki kwa lolote. Tuliona jinsi JPM alivyoitumia hii katiba kunyanyasa viongozi wastaafu, viongozi wenzake ndani ya chama, wapinzani, viongozi wa dini na hata viongozi wa chama chake.

JPM hakuishia hapo, alibinya waziwazi haki za watumishi wa umma, wafanyabiashara na wakulima. Alikuwa akisema amesema hakuna wa kudhibiti maagizo na amri zake. Nchi haiendeshwi namna hii.

Nafahamu waliopo mamlakani hivi sasa wanaona wamepata na huwaambii kitu. Katiba hii mbovu wanayoona inawabeba hivi sasa itawatesa siku zijazo. Nape, mzee Makamba, Kinana, Kikwete na January Makamba bado wana kumbukumbu juu ya mateso waliioyapata awamu ya 5.

Leo kwako kesho kwa mwenzio (kanuni ya Karma).
Awamu ya sita haina madhira?
 
Awamu ya sita haina madhira?
Hatujasikia watu wakitekwa, wakiuawa, wakifilisiwa, wakivamiwa usiku na RC, wakipigwa risasi, wakiokotwa kwenye viroba, n.k.

Awamu ya sita Ina mapungufu ktk ufujaji na uuzwaji wa rasiliamali za taifa tu.
 
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya.

Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya uongozi wake. Lkn cha muhimu zaidi rais awajibishwe pale atakapobainika kakosea.

Katiba hii ni mbovu, inampa rais mamlaka yote halafu hawajibiki kwa lolote. Tuliona jinsi JPM alivyoitumia hii katiba kunyanyasa viongozi wastaafu, viongozi wenzake ndani ya chama, wapinzani, viongozi wa dini na hata viongozi wa chama chake.

JPM hakuishia hapo, alibinya waziwazi haki za watumishi wa umma, wafanyabiashara na wakulima. Alikuwa akisema amesema hakuna wa kudhibiti maagizo na amri zake. Nchi haiendeshwi namna hii.

Nafahamu waliopo mamlakani hivi sasa wanaona wamepata na huwaambii kitu. Katiba hii mbovu wanayoona inawabeba hivi sasa itawatesa siku zijazo. Nape, mzee Makamba, Kinana, Kikwete na January Makamba bado wana kumbukumbu juu ya mateso waliioyapata awamu ya 5.

Leo kwako kesho kwa mwenzio (kanuni ya Karma).
Upole na ungwana wa watanzania ndo unawafanya serekali ya Ccm kupuuza mahitaji ya haraka ya katiba inayosimamia haki kwa wote.Hata Elimu ya watu wazima haikuwa inachukua mwaka mmoja kujua kusoma na kwandika
 
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya.

Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya uongozi wake. Lkn cha muhimu zaidi rais awajibishwe pale atakapobainika kakosea.

Katiba hii ni mbovu, inampa rais mamlaka yote halafu hawajibiki kwa lolote. Tuliona jinsi JPM alivyoitumia hii katiba kunyanyasa viongozi wastaafu, viongozi wenzake ndani ya chama, wapinzani, viongozi wa dini na hata viongozi wa chama chake.

JPM hakuishia hapo, alibinya waziwazi haki za watumishi wa umma, wafanyabiashara na wakulima. Alikuwa akisema amesema hakuna wa kudhibiti maagizo na amri zake. Nchi haiendeshwi namna hii.

Nafahamu waliopo mamlakani hivi sasa wanaona wamepata na huwaambii kitu. Katiba hii mbovu wanayoona inawabeba hivi sasa itawatesa siku zijazo. Nape, mzee Makamba, Kinana, Kikwete na January Makamba bado wana kumbukumbu juu ya mateso waliioyapata awamu ya 5.

Leo kwako kesho kwa mwenzio (kanuni ya Karma).
Katiba mpya, kuondolewa kinga ya kushitakiwa kwa Viongozi wote na kuchagua Viongozi wenye hofu ya Mungu.
 
Katiba mpya, kuondolewa kinga ya kushitakiwa kwa Viongozi wote na kuchagua Viongozi wenye hofu ya Mungu.
Hapa kwenye kuondolewa Kinga hapo ndiyo ccm hawapataki na ndiyo maana wanakwepa hata kutunga katiba mpya.
 
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya.

Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya uongozi wake. Lkn cha muhimu zaidi rais awajibishwe pale atakapobainika kakosea.

Katiba hii ni mbovu, inampa rais mamlaka yote halafu hawajibiki kwa lolote. Tuliona jinsi JPM alivyoitumia hii katiba kunyanyasa viongozi wastaafu, viongozi wenzake ndani ya chama, wapinzani, viongozi wa dini na hata viongozi wa chama chake.

JPM hakuishia hapo, alibinya waziwazi haki za watumishi wa umma, wafanyabiashara na wakulima. Alikuwa akisema amesema hakuna wa kudhibiti maagizo na amri zake. Nchi haiendeshwi namna hii.

Nafahamu waliopo mamlakani hivi sasa wanaona wamepata na huwaambii kitu. Katiba hii mbovu wanayoona inawabeba hivi sasa itawatesa siku zijazo. Nape, mzee Makamba, Kinana, Kikwete na January Makamba bado wana kumbukumbu juu ya mateso waliioyapata awamu ya 5.

Leo kwako kesho kwa mwenzio (kanuni ya Karma).
Tumebaki na kete mbili tu ili nchi hii ikombolewe kabla haijaingia kwenye machafuko 1. Maandamano none stop nchi nzima.2.mapinduzi ya kijeshi.Mengine yote yanayofanyika yamezoeleka hata CCM wanajua ni ya kijinga tu.
 
Tumebaki na kete mbili tu ili nchi hii ikombolewe kabla haijaingia kwenye machafuko 1. Maandamano none stop nchi nzima.2.mapinduzi ya kijeshi.Mengine yote yanayofanyika yamezoeleka hata CCM wanajua ni ya kijinga tu.
Kama kweli Mtu aliyekuwa Makamu MKiti wa Bunge la Katiba 2014 Mwaka 2023 anasema Uwepo wa Katiba ni hadi elimu itolewe maana watu hawajui Katiba ni ajabu ya Mwaka. Halafu Katiba aliyoapa nayo anaiita ni Kitabu tu, hiyo inaonyesha hana nia yoyote ya dhati kwa anachoahidi. Suala la maandamano yasiyo na kikomo haliepukiki. Lile lingine walinzi wa Nchi wana namna yao ya kufanya maamuzi kwa Kiongozi anayeonyesha kudharau Katiba kupitiliza.
 
Kama kweli Mtu aliyekuwa Makamu MKiti wa Bunge la Katiba 2014 Mwaka 2023 anasema Uwepo wa Katiba ni hadi elimu itolewe maana watu hawajui Katiba ni ajabu ya Mwaka. Halafu Katiba aliyoapa nayo anaiita ni Kitabu tu, hiyo inaonyesha hana nia yoyote ya dhati kwa anachoahidi. Suala la maandamano yasiyo na kikomo haliepukiki. Lile lingine walinzi wa Nchi wana namna yao ya kufanya maamuzi kwa Kiongozi anayeonyesha kudharau Katiba kupitiliza.
Huyu mama Sijui Elimu yake ikoje,kuna mashaka kama kweli ni mfuatiliaji wa mambo.Shida hii ndio ugonjwa wa CCM kujiwekeawekea tu watu wasio eleweka na ufahamu wa mambo ni mdogo kuliko kawaida.
 
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya.

Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya uongozi wake. Lkn cha muhimu zaidi rais awajibishwe pale atakapobainika kakosea.

Katiba hii ni mbovu, inampa rais mamlaka yote halafu hawajibiki kwa lolote. Tuliona jinsi JPM alivyoitumia hii katiba kunyanyasa viongozi wastaafu, viongozi wenzake ndani ya chama, wapinzani, viongozi wa dini na hata viongozi wa chama chake.

JPM hakuishia hapo, alibinya waziwazi haki za watumishi wa umma, wafanyabiashara na wakulima. Alikuwa akisema amesema hakuna wa kudhibiti maagizo na amri zake. Nchi haiendeshwi namna hii.

Nafahamu waliopo mamlakani hivi sasa wanaona wamepata na huwaambii kitu. Katiba hii mbovu wanayoona inawabeba hivi sasa itawatesa siku zijazo. Nape, mzee Makamba, Kinana, Kikwete na January Makamba bado wana kumbukumbu juu ya mateso waliioyapata awamu ya 5.

Leo kwako kesho kwa mwenzio (kanuni ya Karma).
Sisi wanaccm hua tunangoja mwenyekiti anasema nn na akishasema tu bas tunaish humo!! Hatuna uwezo wa kutoa mawazo mbadala kuhusu suala la katiba mpya maan.. sisi kama uvccm hua tunaamin katiba mpya haimletei ugal mezan bibi kule kijijin!! Mtusamehe tu
 
Tumebaki na kete mbili tu ili nchi hii ikombolewe kabla haijaingia kwenye machafuko 1. Maandamano none stop nchi nzima.2.mapinduzi ya kijeshi.Mengine yote yanayofanyika yamezoeleka hata CCM wanajua ni ya kijinga tu.
Hasa hasa hiyo namba 2 ndiyo inawezekana. Hiyo namba 1 kwa watanzania hawa , ni ngumu sana
 
Sisi wanaccm hua tunangoja mwenyekiti anasema nn na akishasema tu bas tunaish humo!! Hatuna uwezo wa kutoa mawazo mbadala kuhusu suala la katiba mpya maan.. sisi kama uvccm hua tunaamin katiba mpya haimletei ugal mezan bibi kule kijijin!! Mtusamehe tu
Kwa kweli inabidi msamehewe tu. Kama hamjui uhusiano kati ya katiba na maisha ya kila siku?!!! Mifano hii hapa chini :-

**Zao la korosho kule Mtwara na Lindi bei yake imeharibika kwasabb tu ya mtu mmoja ambaye kapewa mamlaka ya kusema chochote hata kama ni kibaya kinakuwa sheria.

**Mbaazi, mahindi na mazao mengine wakulima waliingia hasara kubwa 2017-2020 kwasabb tu kuna mtu ambaye alidhani mazao ya mkulima ni mali ya serikali.

* Nyongeza za mishahara, kupanda madaraka, na annual increments zilizuiwa na mhuni mmoja tu asiyejua uongozi kwa miaka 5 mfululizo (kinyume kabisa na sheria za kazi).

**Bei za kuunganishiwa umeme na maji zinapangwa majukwaani na wanasiasa.

Yote haya yasingefanyika kama katiba yetu ingekuwa ni bora, hivyo kuwawajibisha marais na viongozi wengine wa kisiasa wanaoleta mambo ya hovyo.
 
Madhila ya awamu ya tano waliyamudu. Katiba mpya inayowawajibisha na kurudisha mamlaka Kwa wenyewe ni suala lingine kabisa.
 
Kwa kweli inabidi msamehewe tu. Kama hamjui uhusiano kati ya katiba na maisha ya kila siku?!!! Mifano hii hapa chini :-

**Zao la korosho kule Mtwara na Lindi bei yake imeharibika kwasabb tu ya mtu mmoja ambaye kapewa mamlaka ya kusema chochote hata kama ni kibaya kinakuwa sheria.

**Mbaazi, mahindi na mazao mengine wakulima waliingia hasara kubwa 2017-2020 kwasabb tu kuna mtu ambaye alidhani mazao ya mkulima ni mali ya serikali.

* Nyongeza za mishahara, kupanda madaraka, na annual increments zilizuiwa na mhuni mmoja tu asiyejua uongozi kwa miaka 5 mfululizo (kinyume kabisa na sheria za kazi).

**Bei za kuunganishiwa umeme na maji zinapangwa majukwaani na wanasiasa.

Yote haya yasingefanyika kama katiba yetu ingekuwa ni bora, hivyo kuwawajibisha marais na viongozi wengine wa kisiasa wanaoleta mambo ya hovyo.
Mkuu mtusamehe tu sisi uvccm akili tuliacha kabatini pale Lumumba!!
 
Back
Top Bottom