Nilitembea na ndugu yake.....

we potezea tu, maisha yenyewe ya kuchakuchuana haya,ukute hata yy kachakachua ndugu yako,we hujui tu na huna haja ya kujua!!
 
Best we tumia nyama ya ulim na hulka ya kike kumpasulia uo ukwel usijal atakuelewa tu
 
Weka kila kitu wazi itakuza uhusiano wenu kama kweli mwenzako anakupenda
 
Wala usiwe na hofu Da pretty, just be honest na umweleze ukweli mpenzi wako. Huna haja ya kukosa amani coz hilo sio kosa labda kama ulimwongopea na kumfanya aamini kuwa hukuwahi kuwa na mahusiano hapo nyuma. Muwahi kabla hajaambiwa na wengine coz haitaleta picha nzuri na hiyo itamfanya asikuamini. Kuwa makini na kauli utakazotumia my dear. Mungu akutangulie.
 
Undugu gani huo wa maboga kukutana kikapuni? mwambie mpenzi wako ukweli ili uwe free, unajua huyo kijana lazimaaseme tu,upende usipende, sasa ilikuwaje hukumtaja wakati mnaambiana mambo yenu ya past?hapo ulichemka sana
 
da pretty uko sawa tu na mimi, honey pot its yours, you can give it to any one.
Mweleze huyo kijana alijue hilo mapema.
Pia its sounds like umemzidi umri kidogo.
Kitu gani kimekufanya uone kama kamzidi umri?
 
Undugu gani huo wa maboga kukutana kikapuni? mwambie mpenzi wako ukweli ili uwe free, unajua huyo kijana lazimaaseme tu,upende usipende, sasa ilikuwaje hukumtaja wakati mnaambiana mambo yenu ya past?hapo ulichemka sana

Hapana D,

Hawa watu wana muda wa miezi 2 tangu waanze uhusiano. Ni muda mfupi sana kumweleza mtu kila kitu chako. Kwa hiyo mleta mada hana kosa lolote. Pia kuna watu wanasema kwamba amekosea kujifanya hamjui huyo ndugu waliyekutana naye...hilo pia si kosa kwani haya mambo yanahitaji muda na mazingira mazuri kuyaongelea.

Jambo ambalo nakubaliana na wadau ni binti kuwa makini katika kuchagua maneno wakati anaongea na huyo BF wake!
 

sORRY DC,
sijui kuedit ningefanya hivyo, but sikujua kwa haraka nitumie neno gani
 
da pretty uko sawa tu na mimi, honey pot its yours, you can give it to any one.
Mweleze huyo kijana alijue hilo mapema.
Pia its sounds like umemzidi umri kidogo.
Sijamzidi wala hatulingani, ananizidi 3yrs
 
mwambie haraka.........
Akichelewa atakuta mwana si wake, kuna watu wanasema ni mapema kusema, ithot uhusiano unapoanza mnaambiana background yote bila kificho
 
Reactions: EMT
Akichelewa atakuta mwana si wake, kuna watu wanasema ni mapema kusema, ithot uhusiano unapoanza mnaambiana background yote bila kificho

can you do that????
women huwa hawasemi kila kitu from my experience
 
Hapana hatukuuliza tulikua na wangapi kabla hatujakutana ila tuliulizana uhusiano wa mwisho na kuanza upya. By the way hakukua na kutaja majina kwamba nilikua na fulani ni kabila fulani na anakaa wapi. So still isingeweza kumpa picha kama nilikua na ndugu yake.
 



kumwambia nin?
tatizo ninin?
mi wala sjakuelewa ata kdg pbm ninin
 
Akichelewa atakuta mwana si wake, kuna watu wanasema ni mapema kusema, ithot uhusiano unapoanza mnaambiana background yote bila kificho

Watu wengine especially wanawake hawapendi kuongelea mahusiano yao ya nyuma. Ukitaka kujua lazima u-probe na inawafanya wajisikie vibaya kuulizwa. Nadhani wanahisi kuwa na wanaume wengi huko nyuma ni uhuni wakati wanaume wanaona fahari kutaja kuwa FG wa sasa labda ni wa 115!!!

Katika mazingira ya sasa ambayo watu hawasubiri hata birthday yao ya 10, ni bora kuweka mambo mezani ila sishaurii hizo topic kupewa kipaumbele katika siku 100 za mwanzo wa uhusiano! Kwanza watu watamaniane sana kabla ya kumwagiana nyongo!
 
kumwambia nin?
tatizo ninin?
mi wala sjakuelewa ata kdg pbm ninin

Binti wa watu kakosa amani kuvumbua au kugundua kuwa karibia anapandanisha mtu na ndugu yake...Hilo siyo tatizo?

Halafu la msingi linalotufanya tumshauri ni kwamba binti wa watu pressure inapanda na kushuka wakati hana kosa lolote la jinai au la kimaadili!
 
Basi hana cha kukuuliza kama ni hivo, maana mahusiano mengi yanapoanza huwa mnaambina mengi sana, na kama hamkutajiana majina ndio vizuri kabisa, kumbe una kazi rahisi sana kuliko unavotegemea
 
can you do that????
women huwa hawasemi kila kitu from my experience
Kuna ya siri hatusemi ila hili lake lilishuhudiwa na watu wengi, nafikiri mwanzo wa mahusiano unakuwa hakuna cha kuficha, ya kuficha ni yale yaliyofanyika katika uhusiano au ni aje the boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…