naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 410
- 987
Mwanzoni haikua rahisi, ile miezi miwili au mitatu sitaisahau kwenye maisha yangu kwani ilikua ni migumu sana
Biashara niliyoanza nayo haikua biashara sahihi kabisa mambo yakawa magumu sana tena sana
Watu wakanicheka,wakanidharau sana niliumia sana,lakini sikuvunjika moyo nikajipa imani kwamba iko siku tuu
Ile biashara nilidumu nayo kwa muda wa mwaka mzima bila kuleta mafanikio yoyote zaidi tu ya kuniongezea madeni mtaani,nilikonda sana wapo watu walionishooshea kidole kua nimeukwaa
Maisha ya mtaani yamenijenga nimejifunza mengi,nimeamini kwenye nia pana njia ,nakiri maisha yakuajiriwa yamenipotezea muda wangu mwingi sana zile nguvu nilizozitumia kwa mwajili wangu ningezitumia mapema kwenye sughuli zangu binafsi basi ningekua mbali sana
Mtaani kuna fursa nyingi sana ambazo ukiwa mwajiriwa uwezi kuziona kamwe,kweli nawaambia nimeziona fursa nyingi nimechangamkia moja sasa ivi nimeajiri watu zaidi ya 30
Vijana went angle nawashauri tafuteni pesa sio ajira, Tanzania ya magu sio mchezo,pesa ni chache mtaani lakini mianya ya kutafuta pesa ni mingi
Nawakilisha
Biashara niliyoanza nayo haikua biashara sahihi kabisa mambo yakawa magumu sana tena sana
Watu wakanicheka,wakanidharau sana niliumia sana,lakini sikuvunjika moyo nikajipa imani kwamba iko siku tuu
Ile biashara nilidumu nayo kwa muda wa mwaka mzima bila kuleta mafanikio yoyote zaidi tu ya kuniongezea madeni mtaani,nilikonda sana wapo watu walionishooshea kidole kua nimeukwaa
Maisha ya mtaani yamenijenga nimejifunza mengi,nimeamini kwenye nia pana njia ,nakiri maisha yakuajiriwa yamenipotezea muda wangu mwingi sana zile nguvu nilizozitumia kwa mwajili wangu ningezitumia mapema kwenye sughuli zangu binafsi basi ningekua mbali sana
Mtaani kuna fursa nyingi sana ambazo ukiwa mwajiriwa uwezi kuziona kamwe,kweli nawaambia nimeziona fursa nyingi nimechangamkia moja sasa ivi nimeajiri watu zaidi ya 30
Vijana went angle nawashauri tafuteni pesa sio ajira, Tanzania ya magu sio mchezo,pesa ni chache mtaani lakini mianya ya kutafuta pesa ni mingi
Nawakilisha