Nilivokosa kuingia jela kisa wasichana Sikukuu ya Eid

Oi chalii niko back town hapa nifanyie mafeke kama una dunzi namimi nikamoke gero.
 
Ni wakati wenu Chalii Ngareroo .Ukikua utaacha. Ni ujana tu chaliangu nimepitia huko , nimekuelewa Sana. Kumbuka kutembea na Ndomu kwenye hizo mishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…