Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Zamani kidogo tulienda kuwinda na wazee wa makamo wanne. Kwakuwa mimi nilikuwa mdogo nikaambiwa kazi yangu ni kumpiga kabali/roba mnyama wakishatamka neno "TAYARI". Kisha wao watasogea na kumchuna. Basi mnyama wa kwanza alikuwa digidigi baada ya kunasa kwenye mtego nilimpiga six one nine wakaja kumchuna..
Mnyama wa pili nakumbuka alikuwa pofu nilimchapa roba kali sana akafia pale pale,wakaja kunilaumu wakisema "tutakulaje kibudu?" Basi tukaenda hadi mnyama wa 3,nilimrukia vibaya sana [emoji22] kama kawa akala roba ya mbao,nasubiri wazee nashangaa wametimua mbio sana...
Mnyama wa pili nakumbuka alikuwa pofu nilimchapa roba kali sana akafia pale pale,wakaja kunilaumu wakisema "tutakulaje kibudu?" Basi tukaenda hadi mnyama wa 3,nilimrukia vibaya sana [emoji22] kama kawa akala roba ya mbao,nasubiri wazee nashangaa wametimua mbio sana...