Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,297
Nitoe short story tu katika muendelezo wa kuelimisha jamii juu ya kilimo hai(organic farming).
Mimi Kwangu nimepanda mboga mboga katika mifuko hivyo mara nyingi huwa sinunui mboga sokoni, sasa juzi ilitokea nimefululiza kuchuma ikabidi ninunue tu mboga kwa siku hiyo.
Mbogamboga ambazo huwa napenda kununua ni majani ya maboga, mchicha laini,au tembele kutokana na kuwa hazina magonjwa mengi hivyo hata kunyunyiziwa dawa ni rare sana.
Mahali naponunuaga nikakuta mboga zote hakuna zipo tu chainizi so ikabidi tu nijikaze nikazinunua kwa sababu sikuwa na option.
Kiukweli mboga zile zilikuwa zinanuka dawa mpaka zimefika mezani, yani ni kama vile zilinyunyuziwa dawa two to three days ago then zikavunwa na kuletwa sokoni.
Nilikula mboga ile ka vijiko viwili nikaamua kuiacha na ikabidi tu imwagwe mana harufu ya sumu Ilikuwa kali kupitiliza.
#Ni mara nyingi sana wakulima wamekuwa wakinyunyiza dawa katika mboga matunda na mazao mengine bila kuzingatia hatua ya mazao hayo(i. e nyanya zimeiva kabisa anaona ugonjwa ananyunyiza dawa badala ya kuvuna).
Au ng'ombe anachomwa sindano asubuhi jioni anakamuliwa wakati dawa inaelekeza maziwa yatumike baada ya siku 5 au saba
#Kwa namna hii kutokomeza magonjwa yatokanayo na chemical kwa binadamu ni kazi sana.
#Kuna haja ya serikali na wadau wa sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya hizi chemical.
#Lakini kubwa zaidi kuna haja ya sisi kurudi kwenye kilimo HAI, Kuzalisha bila matumizi ya chemical na mbolea za viwandani kwa maslahi( ya afya zetu, udongo na mazingira) ambazo kwa kiwango kikubwa zinachangia kuibuka kwa magonjwa mengi kwa binadamu na wanyama.
#ORGANICAGRICULTUREAMBASSADOR
AgriGanic Tz
P. O. Box 2021,
Dodoma Tz
E. Mail: Pnairah@gmail.com[/email
Mimi Kwangu nimepanda mboga mboga katika mifuko hivyo mara nyingi huwa sinunui mboga sokoni, sasa juzi ilitokea nimefululiza kuchuma ikabidi ninunue tu mboga kwa siku hiyo.
Mbogamboga ambazo huwa napenda kununua ni majani ya maboga, mchicha laini,au tembele kutokana na kuwa hazina magonjwa mengi hivyo hata kunyunyiziwa dawa ni rare sana.
Mahali naponunuaga nikakuta mboga zote hakuna zipo tu chainizi so ikabidi tu nijikaze nikazinunua kwa sababu sikuwa na option.
Kiukweli mboga zile zilikuwa zinanuka dawa mpaka zimefika mezani, yani ni kama vile zilinyunyuziwa dawa two to three days ago then zikavunwa na kuletwa sokoni.
Nilikula mboga ile ka vijiko viwili nikaamua kuiacha na ikabidi tu imwagwe mana harufu ya sumu Ilikuwa kali kupitiliza.
#Ni mara nyingi sana wakulima wamekuwa wakinyunyiza dawa katika mboga matunda na mazao mengine bila kuzingatia hatua ya mazao hayo(i. e nyanya zimeiva kabisa anaona ugonjwa ananyunyiza dawa badala ya kuvuna).
Au ng'ombe anachomwa sindano asubuhi jioni anakamuliwa wakati dawa inaelekeza maziwa yatumike baada ya siku 5 au saba
#Kwa namna hii kutokomeza magonjwa yatokanayo na chemical kwa binadamu ni kazi sana.
#Kuna haja ya serikali na wadau wa sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya hizi chemical.
#Lakini kubwa zaidi kuna haja ya sisi kurudi kwenye kilimo HAI, Kuzalisha bila matumizi ya chemical na mbolea za viwandani kwa maslahi( ya afya zetu, udongo na mazingira) ambazo kwa kiwango kikubwa zinachangia kuibuka kwa magonjwa mengi kwa binadamu na wanyama.
#ORGANICAGRICULTUREAMBASSADOR
AgriGanic Tz
P. O. Box 2021,
Dodoma Tz
E. Mail: Pnairah@gmail.com[/email