Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Lete muda huu karibia na lunch tusome huku tunatafuna mishikaki ya firigisi.
 
[emoji1483]
 
Mnafanya biashara za haramu halafu hamna codes za mawasiliano??!! Criminal gang lazima iwe na code hata kama ameshikwa na polisi akianza kuongea tu kwenye simu mwenzake lazima ajue kuwa hali sio hali au unatoa muda feki wa kufika eneo la tukio then unafika mapema sana kucheki mazingira ukiona hali haieleweki unapotea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…