Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hujawahi kufeli.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aisee noma sana,nipo wavuvi kempu dj anagonga ngoma kali ila kama siziskii jinsi hii story ilivyonikamata....Infact hata mademu siangalii. I mean hata aje Beyonce sina habari naye. In other words ni kama sipo nilipo, in real sense hata bia siiskii. In short ni kama hela yangu inaenda bure hapa

 
Unaupiga mwingi Mzee wa kuzugia..utaratibu wa kukuchangia mafuta chombo chako Kwa hiari unaweza kuweka namba hapa au Hadi nikufate DM..NB.

Na Imani hii kauli haiwezi kukufanya ukaanza kupata majivuno ya kushusha episode utaratibu wa episode uendelee kama kawaida wanaojisikia kukubless na mafuta ya chombo tutaendelea
 
Kijana aliyemaliza Form Six sio mtoto..ni mtu mzima..ana miaka zaidi ya 18..anajielewa..ni level ya kijana wa chuo kikuu...kushikiwa chini na kupigwa hivyo nadhani hapo kuna shida..hayo ni mambo ya watoto wa std iv to vii
Mkuu sio kwa ubaya lakini kwa tamaduni za makabila mengi ya kanda ya ziwa wasukuma,wakurya n.k kijana hata wa miaka 25 anaadhibiwa kwa viboko vizuri tu na hana la kufanya.

Kwa angle hio naweza mtetea mleta mada.
 
Mura shusha moja ya kuzugia kabla ya kulala, nipo sirari hapa kwa ndugu nikila nyamachoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…