Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Ndugai hajui idadi ya watoto wake Ndugai alitwambia kwamba Yesu na mke wake walikosa chumba Capernaum .Ana tofauti gani na Mpwayungu?
 
Hapo umedandia mtumbwi wa vibwengo🀣
 
Mpwayungu ni Umughaka
 
Mashemeji sio watu wa kuwaamini hata kidogo
Wakati mwingine huwa wanajua kabisa unapotezewa muda na ndugu yao.lakini wanavyokuchangamkia kiunafiki wakikuona..
Utasikia " aagh ! Shemelaaa..." πŸ˜…
 
Mpwayungu ni Umughaka
mpwayungu village hawezi kua UMUGHAKA. Mpwayungu akiona demu Ni muda huo huo anataka, Hana simile ndio maana mabibi zake Ni ma barmaid, mama ntilie na wahaya wa Mwananyamala. Umughaka Ni MTU mwenye subira, kwanza anampima demu, akiridhika ndio anauza lugha.

Umughaka hanunui ngono wakati mpwayungu Hadi umri huu hajawahi kua na girl friend.

Yeye Ni Meeda, Kona bar, Mikasa, Kimboka na Sewa (sewage bar Buguruni)
 
Mkuu Hoaxer umefanya nicheke kwa sauti kubwa kama mwehu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umughaka amesema pesa yake nyingi inaishia kwenye pombe na pamba,natamani sana life style ya hiv lakin kuiweza ni mtihani maana kuwaepuka chuma ulete hawa wasasa ni ngumu mno,siku hz wanakaa hata uchi ili uone upagawe,sijui Umughaka anawezaje kuwakwepa
 
alisema Ni misosi na pamba sio pombe mkuu
 
Binafsi Kwenye fikra zangu hua nahisi Mara/Musoma ni mapori tu na vijiji hakuna mjini.
Siku moja Inabidi nifike huko mura
aroooo! ukifika kuree ure ugari na rijisato ra rewo rewo mweee! utamu mpaka machoni!...rire rikuu ra mukowa rimeamua kujenga hukooo kabisaa
 
Jamaa alifukuzwa sheleni night kali kwakuwa alimtaka binti wa ticha πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…


Ila KIGADAA aliharubu saana ile story mpwayungu village

Jamaa nipo mkoani kwako tuonane ukirudi mnchini saivi nipo Waswanu nasubiria mechi ya 🐸🐸
 
Umughaka uwe unatoa kipande kimoja kwa siku Kisha endeleaa na shughuli zako za bodaboda , watu hapa wanakuzuga tu

Au fanya utoe kipande kimoja usku kuanziaa saa mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…