Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Cheki hili taahira [emoji23][emoji23] sasa Turia ndo nn? Kabisa mtu mzima unaandika turia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hako ka Lucha kanawasumbua tu,ukute sahiv kapo kamelala kanasubiri chai iive kanywe kwahyo kakiwasumbua hapo kanajiona kamejishughulisha maana hakana kazi,kazi yake kula kulala na kunya kwenye choo cha shemeji yake
 
Wapi nimechanganya L na R rabda macho yako hayaoni vizuli ira hujui kiswahiri utasubili sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika kuna muda unaweza ukawa na shida fulani lakini usijue kama unayoshida! Unachotakiwa kukubali kwanza ni wewe kuwa unayoshida hiyo...

Mkuu una shida ya R na L soma ulicho kiandika!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika kuna muda unaweza ukawa na shida fulani lakini usijue kama unayoshida! Unachotakiwa kukubali kwanza ni wewe kuwa unayoshida hiyo...

Mkuu una shida ya R na L soma ulicho kiandika!
Hiyo jamaa inakupima mavi.
 
Pamoja sana mkuu,nami nataraji Christmas au new year mojawapo inikutie huko nyumbani Mungu akipenda,tutataftana humu humu kama VP tupate japo mbuzi choma na ka TBL/SBL ila lazima tuwafute hawa watu goroko77 Glenn meza ipendeze
Ahahahahh pmj San mkuu
 
Maeneo yangu sana hayo mkuu, kuanzia babati,dareda,bashnet,dongobesh,maretadu,maghang,kidarafa,hyderer,dominiki,...etc.......dah umenikumbusha mitaa ya zamani aisee.........dah!....khae......gamila?
Ghatesh, Gijedabung,Mamire,Gallapo,Endakiso, Endamanang I miss those place
 
Ugali wa udaga na ufuru
"UFURU" hawa ni aina ya dagaa wanaopendwa xn kanda ya ziwa binafs nmewatumia xn kipindi nikiwa kishapu-shinyanga kwa takriban miaka 10 ktk mihangaiko angu ya utaftaji mkate wa siku

Saiz nko nyumban njombe napika, napakua na kula vya wanyalukolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…