Umenikumbusha mjomba aliwahi kusema nilikua nimepanda bunda naenda punda"Mkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Hahahaaa, kiswahili kigumu baba!."ww" ndiyo lugha gani!
Hahahaaa, kiswahili kigumu baba!."ww" ndiyo lugha gani!
Shukrani ndg yanguYes tunakumbukana sana,ukiona mwamba humuoni unamtag anakuja chap,....pamoja sana man🙏🙏
Sio turia Ni tulia unaleta shobo nyingi wkt kiswshili kinakugonga ugokoTuria mdogo wangu we huwezi kunifundisha kiswahiri mimi utasubili sana
We hujamwelewa hapo katoa mfanoSio turia Ni tulia unaleta shobo nyingi wkt kiswshili kinakugonga ugoko
Fiti tu sana, especially afta kupata hii salaam yako... 😁Hey mambo
😅😅Fiti tu sana, especially afta kupata hii salaam yako... 😁
Ayt, wacha nifikirie pick up line ingine kali ndio nikam, otherwise zikubambe pande iyo.
Hako ka Lucha kanawasumbua tu,ukute sahiv kapo kamelala kanasubiri chai iive kanywe kwahyo kakiwasumbua hapo kanajiona kamejishughulisha maana hakana kazi,kazi yake kula kulala na kunya kwenye choo cha shemeji yakeCheki hili taahira [emoji23][emoji23] sasa Turia ndo nn? Kabisa mtu mzima unaandika turia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi nimechanganya L na R rabda macho yako hayaoni vizuli ira hujui kiswahiri utasubili sana
Hiyo jamaa inakupima mavi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika kuna muda unaweza ukawa na shida fulani lakini usijue kama unayoshida! Unachotakiwa kukubali kwanza ni wewe kuwa unayoshida hiyo...
Mkuu una shida ya R na L soma ulicho kiandika!
Ghatesh, Gijedabung,Mamire,Gallapo,Endakiso, Endamanang I miss those placeMaeneo yangu sana hayo mkuu, kuanzia babati,dareda,bashnet,dongobesh,maretadu,maghang,kidarafa,hyderer,dominiki,...etc.......dah umenikumbusha mitaa ya zamani aisee.........dah!....khae......gamila?
Na wewe ni tatizo sasa sio ndo ni ndioNa ww ndo tatizo pia na kiswahili ni kigumu.
Ni 'siyo' si 'sio'.