Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Wapi huko boda boda anaweza ingiza 70,000 kwa siku? Nipeleke boda boda wangu 5 tu. Hizi ni stories tu asikudanganye mtu. Boda boda wamesambaa tanzania ni wengi sana kwa sasa.
 
Wapi huko boda boda anaweza ingiza 70,000 kwa siku? Nipeleke boda boda wangu 5 tu. Hizi ni stories tu asikudanganye mtu. Boda boda wamesambaa tanzania ni wengi sana kwa sasa.
Story za vijiweni hizo bro.
Utawasikia wakisema ukiwa na Bajaj tatu unalaza laki.

Sasa wewe nunua hizo Bajaj tatu wapelekee. Wataondoa vitu original kwenye hizo Bajaj na kufunga feki vya China, baada ya miezi mitatu Bajaj Ni nyumba ya kuku.

Wahuni sio watu mkuu.
 
Basi niliamua kutulia ndani ya difenda na kumuachia Mungu yeye ndiye akawe muamuzi wa lile jambo,kwa hatua niliyokuwa nimefikia sikuwa na msaada wowote zaidi ya kuamini ni Mungu peke yake ndiye anaweza kuniokoa na mkono wa serikali!.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakika ummy Mwalimu una kazi ongezeni hodi za kulaza wendawazimu hapo mirembe
 
Jobless wana jazba hatari.... Mijitu mingine huko imedandia comment na kuninginia nazo bila kujua chanzo..... Acheni makasiriko wakuu... Huyu mtu ana maisha yake pia...ukiona haumuelewi pita tu.
 
Mkuu huyu jamaa ni kweli hii story ni yake Na wala c ya kutunga maana misukosuko aliyokutananayo hawezi kushindwa kuvumilia kejeri za humu
 
Naelewa ni nini unazungumza kaka .
 
Na watu huwa hawapendi kutumia akili. Wakidanganywa wanafilimbwa tu kama walivyofanywa na Kalyinda. Eti boda boda analaza 70,000 kwa siku? Jamani hawa watu hawa sijui wanatuonaje?
 
Kama kuna sehemu watanzania huwa wanapoteza muda na kulishana matango pori ni kwenye vimigodi uchwara, yaani unakuta wanaamini eneo husika kuna madini huku wakiendelea kupambana kwa nguvu na kupoteza pesa lakini mwisho wa siku wanaambulia patupu,na ndivyo ilivyokuwa hapo Nyasana, kuna muda unawaangalia ndugu zetu watanzania wanavyohangaika hadi huruma kwakweli,
 
Halafu cha kushangaza, jamaa huwa hawana mawazo ya KUSHTUKA, na kurudi nyuma! Kila siku wanajua watapata kesho!
 
Watu wa umughaka kwa kipindi hiki umughaka yuko busy na msiba Kuna mwana mmoja nae anastory yake japo inakinyaa San nendeni mkitizame
Jose Author ndio mweny story hyo [emoji3]
 
Na watu huwa hawapendi kutumia akili. Wakidanganywa wanafilimbwa tu kama walivyofanywa na Kalyinda. Eti boda boda analaza 70,000 kwa siku? Jamani hawa watu hawa sijui wanatuonaje?
Nyie ndio wabishi kwa kuona bodaboda ni kazi ya chini wakati kuna watu wanalea familia, wamejenga sababu ya bodaboda. Kweli siku haziwezi kufanana lakini bodaboda ina hela sana kama mtu yupo serious na kazi yake. Kinachowaponza bodaboda na bajaji ni ulevi, bangi, umalaya na kamali ndio zinaishia hela zao na madeni juu. Sibishi mimi kazi yangu ilikuwa pembeni kijiwe cha bodaboda nilijifunza mengi sana kuwahusu.

Bodaboda yupo radhi atoe 20000 ya guest kula mzigo na akampeleka mtu huyo bure ruti ndefu labda mbezi hadi gmboto hapo kashapoteza kiasi gani. Bado hajalewa na kucheza kamali. Na wala hawajali kuhusu kesho as wanajua kesho ikifika nitapata tena.

Sikushauri kununua bodaboda kuwapa madereva wao wanachojali ni kula, kulewa na kamali yupo radhi asipeleke hela ya bosi ila akacheze dubwi amalize hata 40000 huko. Pamoja na urafiki nao kindakindaki siwezi kurisk kununua bodaboda kumpa dereva anajua hata asipokupa hela yako utachukua chuma yako leo kesho anapata nyingine maisha yanasonga.

Kwa mtu anayejielewa na kujua nini anafanya kutoboa kwa bodaboda ni rahisi sana sometimes biashara inakuwa ngumu kwao ila nina ushahidi usio wa stori kuwahusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole KWA msiba bro.......nakuappreciate SANA unasimamia msimamo wako huyumbishwi na maneno ya watu barikiwa SANA japo yawezekana wengine tusiweze kukulipa lakini Tunaomba MUNGU akusimamie katika shughuli zako milango ya neema na baraka ikapate kufunguliwa katika kila hatua unayopitia
 
Unakula samaki mtamu kumbe amevuliwa kwa njia za uchawi.
 
Tunamshukuru umetutoa hofy mkuu

Tutaonana Bunju hapo mm jirani yako, Tupige bia mbili tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…