Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hv UMUGHAKA matatiro alijifunza silaa saa ngapi ,je aliwai kutumia hapo kbla au kuna mahali mlienda kufundishwa ila hukueleza hapa ,, nauliza hvyo kwa sababu jipe anamuambia mtatiro ahakikishe risasi sinakuwa kwenye chemba muda wote ,je mtatiro anaelewa chemba vzr kweli au alikuwa anaitikia tu

Samahani lkn mkuu[emoji23]
 
Sikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
Hapana walikuwa na umuhimu sana nani angemdhibiti kijana mwenye pesa(magige) na nani angefukua vigae Ili atoe lile burungutu la bosi? Na pia waliwekwa Ili waendelee kupata experience ya kuwa na moyo mgumu (ujambazi).
 
UMUGHAKA unazingua Mwanangu, hizi episode mimi naamini unazo kwenye Laptop yako, yaani unaachia vifurushi tu, unatufanya wengine tushinde kwenye page yako Mpwa.

Halafu, fanye basi uzipandishe Episode zako Juu kabisa, unaweka link ya kwenda kwenye each episode, huo utakuwa Unyama sana Mwana.
Njoo tumalizie story bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…