Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Ni kweli, Kuna wakati nilipokuwa nauza Tumbaku zangu hela nilikuwa nachimbia Chini, lakini baada ya kusoma stori hii nitaanza kuzipeleka Benki tu 🤪
Fanya himaaaaa asap babuu hizi story za uhalisia zinatufunza nakututachi sanaa babu
 
Wengi wa watanzania wanajua kila kitu kumbe hawajui. Mtu kama huyo kukosoa anweza ila kuandika paragraph hata moja inyooke hawezi.
 
Hahaha.........nimeisoma yote.

Kumbe ukiwa na tu milioni twako kadhaa unatakiwa kukaweka Benki kabla Wazee wa kazi hawajaja kuzichukua
na uwe na risiti uwaonyeshe maana wanaweza wasimini wakakujeruhi au kukuua.
 
Yani imenibidi nirudie kuisoma story toka episode ya mwanzo kubaini ni wapi Mwamba Mtatiro alipiga mbususu yenye viwatirifu aiseeeee nimegundua ni pale alipo kula mbususu mbele ya Umughaka!


Sasa nafikiri kile kitendo cha Mtatiro kula Mbususu mbele ya Umughaka kili mkasirisha Mungu hivyo Matatiro akauvagaa....aiseee ile siku kuna namna mateso ya Umughaka aliyoyapata wakati Mtatiro anaichakata Papuchi yalizaa laana(jokes....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])

Daaa mwamba Mtatiro ni jasiri sana hadi alikataa kutumia dawa akijua ata survive tuu hatari sana sasa sijui ataendelea kupambana au Umughaka atabaki mwenyewe?


Aiseee Umughaka umetisha sana sana,,,,, sikuwai kutekwa na stori namna hiii
 
Boss kuna kinachokuumiza hata km ni ya kutunga? Na vipi ukiachana nayo ili usipate mfadhaiko wa moyo wa kuwa njia ya panda ya kuwa ya kutunga au si ya kutunga?
Huyo Jamaa anapambana sana🤪🤪
 

Mkuu Umughaka asante sana! Kama kuna nyingine tuletee mkuu,,,,shukran sana sana
 
Mungu awasimamie katika yote! Ahsante kwa hadithi ya maisha yenu!
 
Umeongea fact ndugu yangu wengine humu mwazamwamwa sana
 
Duh jipe wamemtungua

Shukran kwa simulizi yako tumejifunza mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…