Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Siamin km hii story imeisha aisee
[emoji120][emoji120][emoji120]Binafs nimeburudika na kujifunza vingi kutoka kwako hii ndio elimu dunia kwa kweli wiki bando nmelitendea haki

Nakutakia mapambano mema ndg etu UMUGHAKA
 
Wewe bwege acha ujuaji. Amekuambia alikwenda na pikipiki? Kwani bodaboda hawezi kuwa na nauli ya kumfikisha Mbeya? Wa hovyo kabisa wewe.

Achana na wajuaji watu kupitia story wanapata shule kua ukiwa mhalifu unaweza ukaacha na ukaishi kwa amani kabisa, Umughaka na Gabi wangeweza kuanzisha kundi lao la ujambazi na silaha wangefuata mpakani mwa kigoma na burundi na silaha wangepata kirahisi lakini waliachana na michongo hiyo mapema na wakapona madhira ya kuuawa au kufungwa jela miaka mingi.
 
Kaka UMUGHAKA asante sana na pole kwa misukosuko ya maisha.
Tafadhali tunaomba kisa kingine.
 
Ndugu zangu pia niwaombe mzingatie dawa kwa wakati ili ziweze kuwafubaza virusi angalau unapokutana na mwenzako usimuambikize ili muendelee kufurahia maisha,jambo la msingi ni wewe mwenyewe kuacha kujibagua,jikubali na songa mbele.Acha starehe za kijinga,panga mipango yako na timiza ndoto zako,usiwe mlevi kupita kiasi na hakuna sababu ya kuwaambukiza wengine kwa makusudi,wapende watu wote.

Pia achana na imani za mitume na manabii kwamba wakupatie maji au mafuta utumie kisha uache dawa,achana kabisa na hizo imani mfu,wewe muombe Mungu atakusikia, kama akipenda anaweza kuuondoa huo ugonjwa na kama akiona inafaa wewe kuendelea nao basi Mshukuru na endelea kuishi, hata kama ukimuomba Mungu na ugonjwa usitoke lakini Mungu bado atabaki kuwa mwema hivyo usikate tamaa.
 
Siamin km hii story imeisha aisee
[emoji120][emoji120][emoji120]Binafs nimeburudika na kujifunza vingi kutoka kwako hii ndio elimu dunia kwa kweli wiki hii bando nmelitendea haki

Nakutakia mapambano mema ndg etu UMUGHAKA
 
Boss,haina haja ya kuhamaki au kupaniki linapokuja suala la majadiliano hasa kwenye mitandao.Matusi,kejeli,dharau haviwezi kuwa jibu kwenye mjadala wa watu wastaarabu.Anayejua umuhimu wa logical consistency kwenye fiction story yoyote ile ameelewa kilichomaanishwa.Huwezi kuondoka nyumbani kwenda sokoni umevaa baibui halafu unaonekana sokoni umevaa kimasai!Ni suala dogo sana lakini la muhimu.

Halafu sio kama unavyochukulia wewe kwamba eti nia ni mbaya tuu.Hii ni public forum huwezi kuzuia mitazamo tofauti cha muhimu ni kujadiliana kistaarabu tu.Hakuna matusi wala kejeli mpya uliyoweka,yote ye ya zamani.

Be positive,usihamaki....ustaarabu ni kitu cha bure.Ukiona bado hujaelewa then achana nayo,haikukulenga wewe.Asante......
 
Kwani amesema ni simulizi ya kweli?
 
Wanaowasiliana ni Jipe na Gabby ILA MTATITO NA UMUGHAKA WAO SIMU ZAO WALIZIACHA A TOWN...
 
Jambazi unamwachia Mungu ? Ulitakiwa umwonyeshe rangi zako kama Mtatiro alipomwonyesha Jipe na Gabi mpaka mkapata mgao sawa kwa sawa.
 
Ume Maanisha nini!!
 
Pole sana kwa yote ulopitia...ndo maisha hayo na hizo ndo changamoto.... Mngeogopa vitisho vya kina Gab mkaendelea nao leo yangekuwa mengine.

Saivi unapambana ki halali Mungu ni mwema utatoka usijali.

Asante sana kwa kutu keep busy
 
Tunachokipinga hapa ni ujuaji wa kijinga, na most katika watu wa aina hii story hawaifatilii kiundani. Wanaosoma juu juu kutafuta cha kukosoa.

Na lau kama logic ingekua inatumika someone asinge hamaki, kupigiwa sim akakinbia kwenda alikopigiwa sim.

Kila kiumbe ana udhaifu wake, na udhaifu wake upo pale alipowekeza hisia zake. Mfano like family, mpenzi au rafiki wa kariiiibu sana! And you know what happen pale hisia zinaposhinda akili. Ni ku-act indecisively, sasa kama hilo mtu haezi ling'amua unajikutaje mchambuzi?

Wanaowasiliana ni Jipe na Gabby ILA MTATITO NA UMUGHAKA WAO SIMU ZAO WALIZIACHA A TOWN...
Of course na we pia bestie waonekana hufatilii story au msahaulifu... Sasa ukiwa na hizi sifa mbili don't judge ishia kua mtazamaji. Anyway kama kauli ni kali nisamehe bure ndugu yangu!

Nasema sio mfatliaji ama msahaulifu kwanini?

Ngoja nikukumbushe, baada ya uvamizi wao wa awali, unakumbuka baada ya kupewa chao 1.9M wagawane waliambiwa wakanunue sim zingine kisha gharama wampe boss wao kua atawarejeshea kila kitu?

Sasa unasemaje kwamba walikua hawana mawasliano?

Again katika maisha yako scenario kama hii vp hujawah kupoteza kifaa chako cha mawasiliano? Kama ndio, vipi huo ndio ulikuwa mwisho wako wa kufanya mawasiliano yako hadi leo? Kama hapana, base ya madai ya namna hiyo kikoje?

Tuache mindset ya kibongo Movie 🤣, scenes ya kula tuanzie jikoni kuwasha moto... Maji yachemke... Ioneshwe mwiko ulio tumika, aina ya chumvi kama ni ya mawe au vepe... Mafuta ya korie au ya Alizeti en so so so so ndio kipakuliwe wahusika wale. Ilihali ile kukaa mezan kula ilitosha kuonesha kua watu wale wamekula chakula.

Tuchukue tulichojifunza kwenye story basi maisha yanedelee hatufanyi udahili wa uandishi hapa tupeane brake!

Mtajiuliza kwanini tunamkingia kifua, of course yes, Ni yeye na sio nyie aliye jitolea mda wake buuuuuure kabisa kwa ajili ya kufundisha na kuburudisha wengine. Kwa hayo machache tunaishia kumpongeza life liendelee!

Ila kama mnalipa kwa anachokifanya ruksa kukemea uwekazaji wenu 🖐️.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…