Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Acha ujuaji... kwani ulishakua jambazi!! kwani huon hapo kuna seniors na juniors!?
 
Kaka UMUGHAKA asante sana na pole kwa misukosuko ya maisha.
Tafadhali tunaomba kisa kingine.
Jmn yaani yey ameshakuwa Ni mzee wa visa tu hpn jmn mm naona umughaka siyo kila kitu ukaeleza hapa wanna wanaweza kukuomba usimulie jinsi unavyo ishi nyumbani kwako sasa

Lbda kma unayo ya mtu mwingi usimulie ila zakwako binafsi hpn
 
Channeli inaitwa swizzy brown
Kichwa cha habari kinasema
Muendelezo wa wale majambazi mbeya
hilo tukio la SWIZZY BROWN unaloliongelea lilikuwa ni tukio la kupanga la utayari wa Polisi,sio tukio la kina OMUGHAKA
 
Mapongo bhana 😂😂wanatabia ya kujifanya wakarimu kumbe wanakulia Timing tu
 
Mkuu UMUGHAKA nikusihi usisite kuleta kisa kingine sababu ya ujuaji wetu humu JF,ndivyo tulivyo.

Naomba kujua mwisho wa uhusuiano wako na wazazi wako hasa dingi.
Pia ukipata muda leta kisa cha yule demu wa kitanga tafadhali.
 
hilo tukio la SWIZZY BROWN unaloliongelea lilikuwa ni tukio la kupanga la utayari wa Polisi,sio tukio la kina OMUGHAKA
Asante kwa kunijuza
Basi labda umughaka mwenyewe atwambie liliripotiwa na chombo kipi cha habari
 
Ubarikiwe sana kamanda,mm hela ya dhulma huwa haidumu,ila kikubwa uhai unao Mungu atakusaidia na utafika mbali,binafsi nashukuru sana kwa muda wako story yako imenifunza mengi sana,ubarikiwe tena na tena.
 
Wewe nna wasiwasi na elimu yako, so unahisi mbeya ni kama wapi au anashindwa nini kwenda Mbeya? Au unahisi huwa anaenda na bodaboda hadi mbeya? Ifike hatua muanze ku share vyeti vyenu vya kuzaliwa tujue umri wa watu tunaojibizana nao kwanza!
 
Duuuuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…