Nilivyoridhishwa na mwanafunzi wa sekondari

Hivi wikiend imeisha jana.
 
Nimesoma hii Story, lakini imeniacha na mdindo hatari duh!
 
Kuna jamaa kalipa mahari hapo, ndo mana nilighairi kuoa mademu wa kibongo.
Nikibeba ni atakula fimbo pande zote kisha kwaheri. Kesho neeeeext
 
Kuna ID humu unaweza kuhis n Mchizi Kumbe demu. Kama hii ya mtoa mada

Nimemkataa Shetan na mambo yake yote..
 
Kumbe ndo michezo yako nikirudi nisikukute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umerudi Mwanza nitafute tafadhali...PM iko wazi
 
Exactly same stori niliisoma hapa JF mwaka juzi.
Sasa sijui kwa nini umeamua kujaza saver.
Mhurumieni Max Melo saver anailipia kam ulikuwa hujui🤣🤣
 
Mbona kama huu uzi/riwaya/stori/chai imeshawahi kuletwa humu jukwaani. Naomba sana shule zifunguliwe ili vijana murudi kwenye prepo na mafunzo ya uandishi wa insha pamoja na "composition" epuka Sana tabia ya kunakili bila kukitambua/kukitanabaisha chanzo cha nakala.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ID ya kiume, kumbe ni demu

Umenifanya nidindishe aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…