Nilivyotongozwa na msichana Baa

Ila nakuamini mdogo wangu huna baya😍😍😍 Countrywide pokea number Kwa heshima na taadhima
Ukweli nimeshampa go ahead, na anaelewa kwa nn nimemuambia yeye akucheck Ila anajizungusha tu. But naamini atatuma
Nimemsisitiza tena muda si mrefu
 

Attachments

  • Screenshot_20240518-211540_1.jpg
    78.6 KB · Views: 4
Punguzeni mapafyumu yenu hayo ,mnapuliziaaaa mpaka majini yanawaelewa

Loga loga hiyo
🀣🀣🀣 Umenikumbusha miaka ya nyuma, nilikua napenda sana pafyumu fulani hivi, kuna jamaa alikua anakuja geto kwangu, kuomba ajipulizie, alafu anasema hapa leo hata majini watanifuata.
 
Ukweli nimeshampa go ahead, na anaelewa kwa nn nimemuambia yeye akucheck Ila anajizungusha tu. But naamini atatuma
Nimemsisitiza tena muda si mrefu
🀣🀣🀣 Wewe unanigombanisha na sisy nishakuona
 
🀣🀣🀣 Umenikumbusha miaka ya nyuma, nilikua napenda sana pafyumu fulani hivi, kuna jamaa alikua anakuja geto kwangu, kuomba ajipulizie, alafu anasema hapa leo hata majini watanifuata.

Hili perfume nakumbuka mwaka 2009 nilikuwa nasafiri kwenda mkoa, Dada wa kazi aliinunuaga akiwa ndani ya basi ikavunjika Acha Wanawake wengine abiria wapandishe mashetani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Ilikuwa wapi hiyo?
Kaka club moja yakuitwa Maya.

Demu nimeenda nae Geto fresh kabisa.Nilifunga Kwa nje ili niende nikampe security hela ya maji mana kwa muda ule hakuna visitor usiku sana.

Asee narudi Geto nafungua mlango sikuti mtu zaidi ya Redbull aliyokuwa ameshika huku akiwa anakunywa tukiwa tunatoka club.

Unaweza kuvuta picha hali niliyokuwa nayo Kwa wakati ule.
 
ALICHUKUA NYOTA YAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…