Aiseee nimecheka sana mpaka machozi
Mimi ni fundi wa kuogelea ila kuna siku kidogo nife,nilimbeba mtu mgongon nikaamin naweza kuogelea nae,kilichotokea ni mimi kuwa chini ya maji natapatapa na niliembeba alikuwa hajui kuogelea basi alikuwa kanikaba haswa haswa bahat nzur nilifurukuta chini ya maji nikabahatisha kurudi kwenye kina kifupi yeye jamaa kaning'ang'ania kama luba