Nilivyoumbuka kwenye swimming pool

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mshenzi umenichekesha hadi ya hasira ya safari kwenye bus hili la kwenda haidong imeishaa. Maana kuna jitu lipakia mbuzi halafu kakojoa kwenye bus karibu na seat yangu.

Chai Mruwaaa. Uzuri ina tangawizi kwa mbaliiii


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Bado wavaa barakoa tu nyie ndio mnatuletea mikosi kwenye taifa!


Oohhoo kumbe hujuii.....!

Hiyo ni moja ya zoezi la kutoishiwa pumzi ukiwa kwenye maji....!!!!

Hasa barakoa yenye logo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mpaka tumemtoa wale madada hawana habari nae wala nini, shobo zilitaka kumuua mpuuzi yule πŸ˜‚

Kiukweli sijui mzee mwenzangu, sijui roho huwa inatokea machoni 🀣
 
Hujawahi kuwa upande wangu kwanini..?
Sema na nafsi yako unaasili ya ushetani..πŸ˜‚
Ushawahi kuona swala na simba wakawa na urafiki?

Pambana na hali yako na mzamo wako huko kwenye swimming pool πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ushawahi kuona swala na simba wakawa na urafiki?

Pambana na hali yako na mzamo wako huko kwenye swimming pool πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe wewe ni swala..🀣
 
Oohhoo kumbe hujuii.....!

Hiyo ni moja ya zoezi la kutoishiwa pumzi ukiwa kwenye maji....!!!!

Hasa barakoa yenye logo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Maji sio barakoa dada maji ni maji..πŸ˜‚
 
Oohhoo kumbe hujuii.....!

Hiyo ni moja ya zoezi la kutoishiwa pumzi ukiwa kwenye maji....!!!!

Hasa barakoa yenye logo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Maji sio barakoa dada maji ni maji..πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ilinikuta hii waterin wild kule kunduchi nikaona hiki kibwawa kidogo si naweza ku dive nikaruka juu na kutua ndani ya swimming laa haula maji yale yaliniyumbishaa mbilindembilinde nikafanikiwa kuyazibiti mpaka leo naogopa mpaka vi swimming
 
Wewe ni WA mwanza
 
KENZY umeona video ya mdada alikua anaish Canada ni raia wa Kenya alivokufa maji kweny pool akiwa live Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…