Wamuite JECHA aje kufuta matokeo. Mapumbavu yanafikiri uweza kuiba kura kila mahali.
Nimefurahi sana!
Kocha ametuumiza sana, ilibidi sab ya kukaba na si kushambulia koz ushambuliaji ulikuwa fiti. Ila kuna watu yaani usiongee juu ya kumkosoa ngasa alichokifanya akiwa na ndemla,
Tena 5-0 beyonce
sio mimi kama mchungaji nimeshangilia tu, kwa mizani ya kimataifa, cc tumeshinda na wao wamepoteza points kwa kutanguliwa kuchapwa bao 2-0 na tz. algeria walikua na mfungaj bora wa ligi kuu ya uingereza,yule wa t.spurs,na wengi tu.
sio mimi kama mchungaji nimeshangilia tu, kwa mizani ya kimataifa, cc tumeshinda na wao wamepoteza points kwa kutanguliwa kuchapwa bao 2-0 na tz. algeria walikua na mfungaj bora wa ligi kuu ya uingereza,yule wa t.spurs,na wengi tu.
Hamna we mwenyewe unajua sisi ni kichwa cha mwendawazimu
Kuna watu sijui mkoje. Inaelekea hata baba zenu wakitaka kugombana na jirani zenu huwa mnashangilia majirani zenu wawapige baba zenu... No uzalendo, no pride ya kuwa Mtanzania. Wanasema nyumbani ni nyumbani hata ikiwa ni pangoni,vile vile nchi yako lazima iwe namba 1. Acheni ujinga wa kushangilia nchi za wengine sababu mkikutana nao watawashangaa na kuonekana wajinga
kaka wenzako wanacheza soka la kimataifa sisi tunacheza soka la kisiasa so waache watu washangilie wapendavyo mpaka siku tutakapo pata akili ya kutenganisha ivi vitu
Na wakirudiana stars wanafungwa vizuri tu si rahisi kwa stars kumfunga Algeria
kaka wenzako wanacheza soka la kimataifa sisi tunacheza soka la kisiasa so waache watu washangilie wapendavyo mpaka siku tutakapo pata akili ya kutenganisha ivi vitu
Tena mi naongezea mawili iwe seven bila mechi ya marudiano
Mbona imewezekana? Au hatujamfunga?
Huyo wa totenham kaingia dk 70 mambo yakaharibika kabisa na brahim hakuwepo, baghdadi kaingia dk 88 kulikuwa na islam tu najiuliza hawa jamaa wakianza mara kwa mara moja tutaficha uso wetu wapi
Umemfunga ngapi?
Wewe ndio kichwa cha mwendawazimu. Ukikubali kuitwa mwendawazimu, utakuwa kweli mwendawazimu. Siwezi kukubali kuitwa mwendawzimu wakati nina akili timamu na uwezo wa kujifunza na kufundishika kufika walipofika wengine. Hao waliofika mbali walizaliwa na uwezo wa kufundishika kama mimi.
Kucheza soka la kimataifa ndio nini? Hivi umefuatilia jinsi gani nchi zisizo na wachezaji ulaya zilivyogonga nchi zenye wachezaji wa kimataifa ulaya? Kwanza unajua maana ya soka la kimataifa? Tanzania na Algeria leo wamecheza soka la kimataifa. Nchi mbili tofauti zinapocheza mechi hilo soka/mechi inahesabika ni ya kimataifa. International game/ international soccer match na wachezaji pia wanakuwa wa kimataifa because they represent their country vs other country. Huwa siwaelewi mnaposema sijui wachezaji wa kimataifa blah blah mnamaanisha nini?
Kwa maelezo yako kama ni wewe uliyeweka ile post, maneno yako yalimaanisha Algeria aachiwe. Hajaachiwa mtu na laIma wakasimuliane kwao mziki walioupata!Nilikua siamini na nilichotarajia ni sare tu kwa kua tunataka sifa tu sio kushinda mchezo tumeshukuru kwa sare ila bao la samata linazidi kumsafishia njia ya kwenda kua top wa mabao wa lile ya ufaransa
Hongera samata
Sasa ndo nini hii?Wamuite JECHA aje kufuta matokeo. Mapumbavu yanafikiri uweza kuiba kura kila mahali.
Nimefurahi sana!
Kwa maelezo yako kama ni wewe uliyeweka ile post, maneno yako yalimaanisha Algeria aachiwe. Hajaachiwa mtu na laIma wakasimuliane kwao mziki walioupata!