Niliwaambia kumfunga Algeria haiwezekani


Wachawi wanajulikana we unatuita sisi wachawi
 
kaka wenzako wanacheza soka la kimataifa sisi tunacheza soka la kisiasa so waache watu washangilie wapendavyo mpaka siku tutakapo pata akili ya kutenganisha ivi vitu
Hivi ktk mechi dhidi ya Nigeria, Malawi na Algeria ni siasa gani ilikuwapo?
Tuache kuwaonea waliounda hii timu. Wananchi kama wewe ndo waathirika wa siasa na kibaya zaidi nimetambua ni wana ukawa ndo wanaingiza siasa ktk kila kitu.
 
Nilikua siamini na nilichotarajia ni sare tu kwa kua tunataka sifa tu sio kushinda mchezo tumeshukuru kwa sare ila bao la samata linazidi kumsafishia njia ya kwenda kua top wa mabao wa lile ya ufaransa
Hongera samata

Inasemekana Stars wameamua kutoa droo kwakuwa hata wangeshinda... rais kashafuta safari za nje.😃😃
 
Una hoja za kitoto sana, na nasikitika kusema mpira HAUUJUI. Umedandia!
 
Uzalendo haupatikani kirahisi hivi!
 
Wangepigwa hata 10-0 ningefurahi sana, WATANZANIA hatuna uzalendo maana hata uongozi uliopo, umeingia kwa fitna!
 
Unajifanya mzalendo kwa stars wakati unashabikia ccm kuiba kura,uzalendo fek ndo mana tunafungwa
 

Uzalendo gani wakati wenzako wana neemeka kupitia wewe
 
Ukiondoa star wangu samata angalao ulimwengu tomasi lakini wengine waliobaki ni sifa tu hakuna anaejua mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…