sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,156
Niombee.kumbe unajua kuandika eeeeh....
afadhari ile bangi uliyokuwa unavuta umeiacha
NiombeeNaona agarau umyepona mafuwa mukuu.
Kidogo nitenguliwe koromeo.Kudadeki zako kwanini umeacha uandishi wako wa kubangulia korosho?
Mbona nilikuwa maarufu kabla mzee?Namsifu dogo kwa kuwa mbunifu. Kwa ubunifu ule wa kuandika kuwowa badala kuoa amefanikiwa kuwa maarufu ndani ya muda mfupi. Hongera sana.
Eti ee my?Pembe za panzi umeamua kuacha kutuchezea akili? Nitakumiss wallah
Mswamehe bule kaka yagu?Kudadeki zako kwanini umeacha uandishi wako wa kubangulia korosho?
amenNiombee.
Mbona nilikuwa maarufu kabla mzee?
eti"nimewota usiku"Mswamehe bule kaka yagu?
hata sasa tunaweza kukutengua kolomeo bwana mdogo.Kidogo nitenguliwe koromeo.
hata sasa tunaweza kukutengua kolomeo bwana mdogo.
Konki master anakujaHahaha napenda ugomvi nikisikia habari za ugomvi nasisimka mwili.
Usij ukavunjika ulim bure kaka yagu?Mswamehe bule kaka yagu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Usij ukavunjika ulim bure kaka yagu?
nafuraria mno kubadili style yako ya uandishi japo umetusimulia pumba zako
tumeweza kujua ata uwezo wako wa kufikiri