Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

Jamaa alikua fala sana.
 
Hilo Bwana ni bwege
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozi.
 
Sasa huyo ndio mzee wa kupambania
 
Hujanielewa mzee. Soma na uelewe kimtaa.
Soma upya.
Anapambamia nini Sasa wakati anapigwa na matukio kibao ?

Demu baada ya lile tukio akaomba waachane,,

Jamaa bado akajikaza amuache demu,,
Siku demu anakuja na kirikuu kusomba vyombo vyake jamaa kazuia tena kirikuu isiondoke...

Jamaa dhaifu sn.
 
Daaaah
 
Anapambamia nini Sasa wakati anapigwa na matukio kibao ?

Demu baada ya lile tukio akaomba waachane,,

Jamaa bado akajikaza amuache demu,,
Siku demu anakuja na kirikuu kusomba vyombo vyake jamaa kazuia tena kirikuu isiondoke...

Jamaa dhaifu sn.
Duh! Mzee bado hujaelewa.
Ile ni sarcastic comment.
Maana yake jamaa ni king'ang'anizi hata kwa kisichofaa kung'ang'aniwa.
Nikajua kukwambia soma tena utaelewa an inverse content ya post.
 
Jamaa kafukua Mtaro nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…