Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

Duh
 
Nimecheka eti boy wake anasema "Shoo" ili ujue ni mwanamke mwenzake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitumia mbinu kaliiii
Picha linaanza msafiri hadi saa 3 usiku hajafika mkoa husika wakati ni trip ya kufika saa 11 angekuwa kashafika, nauliza mbona hunipi updates za mgeni, eti ameshafika tuko tunazunguka madukan mjini
Kumbe sound.
 
Software ipi hiyo mkuu maana kuna manzi 1 nataka nimbwage kwa kumtegea mtambo? Ni kifaa lakini nataka nikiache tu
 
Picha linaanza msafiri hadi saa 3 usiku hajafika mkoa husika wakati ni trip ya kufika saa 11 angekuwa kashafika, nauliza mbona hunipi updates za mgeni, eti ameshafika tuko tunazunguka madukan mjini
Kumbe sound.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee aseeee.
 
Miaka ya nyuma, Yupo jamaa yangu alidukua simu ya gf wake single maza mmoja hivi, kumbe huyo dada alikuwa anaendelea kumpea baba mtoto.

Nakumbuka siku hiyo jamaa alikuwa anatembea tu hasimami, anataka aende kwa demu akakinukishe, nikimshika ananirushia ngumi.

Hakuna kitu kinaumiza kama mapenzi.
 
Jamaa raundi ya kwanza na ya pili kaongoza katika hilo pambano japokuwa ushindi uliupata raundi ya mwisho ila kwa shidaa sanaa
 
Nmepapenda hapo ulipopigi mikwez ili kureset defaults za hyo kichwa yake...huwa wanaamin kujiliza baada kutenda kosa ni haki kusamehewa...ulichofanya ni sahih...huna baya
Alafu huwezi amini mimi ni mtu ambae si mkorofi wala sina historia hio, yani nilijikuta napata hasira sana mkono ukaanza kuchezeshea makofi ya nguvu
 
Ukitaka kudukua inabidi ujiulize kwanza kama wewe ni msafi kama unavyotegemea mwenzako awe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…