Kuhusu Mimi;
Umri: Miaka 35
Kazi:Mwajiriwa Serikalini
Elimu:Shahada ya uzamili katika maswala ya anatomia ya binadamu.(Human Anatomy)
Familia/Mahusiano:Sina mtoto wala mke ingawaje niliwahi kukaa kwenye mahusiano ya kama wanandoa yalidumu kwa mwezi mmoja tu.
Dini:Mkristo
Ninaye mtafuta;
Umri :Miaka 30+
Dini/kabila lolote
Hata akiwa na mtoto saw a tu
Umri: Miaka 35
Kazi:Mwajiriwa Serikalini
Elimu:Shahada ya uzamili katika maswala ya anatomia ya binadamu.(Human Anatomy)
Familia/Mahusiano:Sina mtoto wala mke ingawaje niliwahi kukaa kwenye mahusiano ya kama wanandoa yalidumu kwa mwezi mmoja tu.
Dini:Mkristo
Ninaye mtafuta;
Umri :Miaka 30+
Dini/kabila lolote
Hata akiwa na mtoto saw a tu