Kwenye hizi novel nilisoma,niligundua kuwa mwanaume asipokua na pesa hujifanya Ana mapenzi ya dhati mno
Na akishaipata huenda kwa wanawake wa type yake,!
Kwakuyagundua haya,
Nawaambia wanawake wenzangu acha kuanza 0 (zero) na mwanaume........
Kwasababu akipata atakukimbia tuuuuu
Happy new year