engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Utakuwa ulitaka kupitisha kwa njia za dili,vijana wazalendo wakakudhibiti ndio maana umeamua kuja humu kuleta majungu.View attachment 1019539
Kwanza TV
16 mins ·
“Niliwahi kutumia bandari ya Dar es Salaam zaidi ya mara 3, lakini kutokana na uaminifu mbovu na urasimu kwa taasisi za ukaguzi ghafla nikahamia bandari ya Mombasa, wasipodhibitiwa watu hawa bandari zetu zitakufa” Mkurugenzi wa Jayjey Ltd - Humprey Mosha. #KwanzaHabari
Kweli majungu hayawezi kuisha, Hakuna kitu kipo imara kama Bandarini, binafsi naipongeza sana serikali ya awamu ya tano.
Bandarini napajua njee ndani zamani kulikuwa na maneno kama Mchuzi, Kolezo na n.k, tulio bahatika kufanya kazi na Bandari wanajua hayo maneno.
Sasa hivi bandari ipo imara kama chuma cha reli usitudanganye.. Watu kwa ajiri ya ukowadi walipata ajira na hao ndio walikuwa wapuuzi na wote Awamu hii wamepigwa chini vyeti fake na n.k
Nimekulia bandarini nimejua mambo mengi kwa ajiri ya yale maji, huwezi kunidandanya kizembe hivyo.
Big up Awamu ya tano mmesimama kidete na ipo wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Holoholo?[emoji849][emoji23]Vitu vingine hata kama umehama kaa kimya sasa atakutana na shughuli Holoholo pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Sizungumzi chuki binafsi nazungumzia Mafanikio ya bandari.
KIUKWELI KUNA IMPROVEMENT KATIKA UTOAJI WA HUDUMA ZA BADARI NA HASA BAAADA YA TIMUATIMUA YA VYETI FEKI. NILISHANGAZWA SANA NILIPOKWEMDA KUMUULIZIA SENIOR MMOJA AMBAYE ALIKUWA NA NYODO SANA KUAMBIWA AMEONDOLEWAKWENYE ZOEZI LA VYETI FEKI WAKATI ALIKUWA AKINYANYASA WATEJA TULIFANYA KASHEREHE SISI WATEJA WA MAKONTENA MANA ALIKUWA NI KIKWAZO SANA CHA KUTIMIZA TAANZANIA YA VIWANDA.ALISHALAZA MAKASHA PALE BILA YA SABABUYA MSINGI ETI MALIPO HAYASOMI NA NINA USHAHIDI WOTE WA MALIPO NA HATA NILIPOKWENDA REVENUE WAKANAMBIAKAMA MALIPO YANASOMA ILA KWA UJUBA WAKE AKANIKATALIA IKABIDI NILALE ASUBUHI NILIPOKWENDA KWA MNAFIKI MWENZIWE LIUNDI NDO AKANISAIDIA NIKAYATOAKweli majungu hayawezi kuisha, Hakuna kitu kipo imara kama Bandarini, binafsi naipongeza sana serikali ya awamu ya tano.
Bandarini napajua njee ndani zamani kulikuwa na maneno kama Mchuzi, Kolezo na n.k, tulio bahatika kufanya kazi na Bandari wanajua hayo maneno.
Sasa hivi bandari ipo imara kama chuma cha reli usitudanganye.. Watu kwa ajiri ya ukowadi walipata ajira na hao ndio walikuwa wapuuzi na wote Awamu hii wamepigwa chini vyeti fake na n.k
Nimekulia bandarini nimejua mambo mengi kwa ajiri ya yale maji, huwezi kunidandanya kizembe hivyo.
Big up Awamu ya tano mmesimama kidete na ipo wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia Bandari ya Tanga.View attachment 1019539
Kwanza TV
16 mins ·
“Niliwahi kutumia bandari ya Dar es Salaam zaidi ya mara 3, lakini kutokana na uaminifu mbovu na urasimu kwa taasisi za ukaguzi ghafla nikahamia bandari ya Mombasa, wasipodhibitiwa watu hawa bandari zetu zitakufa” Mkurugenzi wa Jayjey Ltd - Humprey Mosha. #KwanzaHabari
Sizungumzi chuki binafsi nazungumzia Mafanikio ya bandari.
Nakumbuka nilikuwa napiga dili za kijanja janja, nilipo wekwa ndani baada ya serikali ya Awamu ya tano kuingia ndio nikajua nilikuwa nafanya makosa.
Awamu ya tano sitaisahau katika Maisha yangu imefanya Mengi mazuri sana japo ili nishikisha Adabu na kuyumba sana kiuchumi.
Nakumbuka tulikuwa tunapanga foleni kumpa mtu Rushwa duuh JPM hatari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali yaondoa baadhi ya tozo na masharti kwa wafanyabiashara wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam - JamiiForumsKweli majungu hayawezi kuisha, Hakuna kitu kipo imara kama Bandarini, binafsi naipongeza sana serikali ya awamu ya tano.
Bandarini napajua njee ndani zamani kulikuwa na maneno kama Mchuzi, Kolezo na n.k, tulio bahatika kufanya kazi na Bandari wanajua hayo maneno.
Sasa hivi bandari ipo imara kama chuma cha reli usitudanganye.. Watu kwa ajiri ya ukowadi walipata ajira na hao ndio walikuwa wapuuzi na wote Awamu hii wamepigwa chini vyeti fake na n.k
Nimekulia bandarini nimejua mambo mengi kwa ajiri ya yale maji, huwezi kunidandanya kizembe hivyo.
Big up Awamu ya tano mmesimama kidete na ipo wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app