Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja watu wamalize kufuturu waje wakutukaneNikikumbuka kipindi hicho nikiwa comandoo wa Simba namiss mambo mengi,kesho nitawaletea mfululizo wa visa nilivyokutana navyo enzi hizo
Ila yanaudhi sana muftiMAtusi hayaui sheikh
Qualification za kuwa comando wa team ni zipi?Nikikumbuka kipindi hicho nikiwa comandoo wa Simba namiss mambo mengi,kesho nitawaletea mfululizo wa visa nilivyokutana navyo enzi hizo
Ndugu yangu we acha tu.kuna🤣 yani mnavyolichukulia neno komando kama maharage vile
Acha jukariri,juna nbuzi nnyama,mbuzi ya kujunia nazi,
Kuna.
Kujitoa ufahamu na kufanya jambo lolote la kijinga kuwafurahisha mashabiki oya oya.Qualification za kuwa comando wa team ni zipi?