SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,892
- 3,112
Niliwahi kuweka uzi hapa mwezi uliopita nikilalamika kumtumia mwanamke nauli ya VPI GO and Return kutoka mwanza kwa makusudi akaja hadi Dar alfu akaniambia ameanza period tokea jana nikajiuliza alikuja Dar kufuata nini kwa bahati mbaya watu wakanibeza na uzi ukafutwa
Kwa bahati nzuri kiongozi wetu wa vikao vya wanaume Diamond Platnumz juzi nikazipata taarifa zake namna alivyombadilikia mwanamke aliyempandisha ndege hadi South Africa alafu kufika kule mwanamke akageuza gia nngani kuwa yupo period
Simba la masimba akapanic akaingia chumba cha pili akalala na zigo lingine yule nwsbamke ikamchoma sana ila simba alikuwa sahihi na kurudi Dar bwana simba inasemekana akawa hatoi kodi wala matumizi[emoji23][emoji23] mdada alivyoona pagumu akakimbia
Kwa bahati nzuri kiongozi wetu wa vikao vya wanaume Diamond Platnumz juzi nikazipata taarifa zake namna alivyombadilikia mwanamke aliyempandisha ndege hadi South Africa alafu kufika kule mwanamke akageuza gia nngani kuwa yupo period
Simba la masimba akapanic akaingia chumba cha pili akalala na zigo lingine yule nwsbamke ikamchoma sana ila simba alikuwa sahihi na kurudi Dar bwana simba inasemekana akawa hatoi kodi wala matumizi[emoji23][emoji23] mdada alivyoona pagumu akakimbia