Niliwalaani Taifa Stars Moderators wakaunganisha uzi wangu na uzi mwingine tofauti

Niliwalaani Taifa Stars Moderators wakaunganisha uzi wangu na uzi mwingine tofauti

Gwajima

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
253
Reaction score
406
Japo mlinifanyia ukatili huo juzi nilipoilaani stars, leo tumeshuhudia kipigo cha mbwa koko. Stars walicheza kwa zaidi ya mwezi kupitia vyombo vya habari, leo wamechezewa kwa Dk 90 tu, chaliii.
Nimefurahi sana maana tulidanganywa.
 
Japo mlinifanyia ukatili huo juzi nilipoilaani stars, leo tumeshuhudia kipigo cha mbwa koko. Stars walicheza kwa zaidi ya mwezi kupitia vyombo vya habari, leo wamechezewa kwa Dk 90 tu, chaliii.
Nimefurahi sana maana tulidanganywa.
Nani alikudanganya?
 
FB_IMG_1539375419221.jpg
 
Mimi niliumia sana taifa stars kutoa sare na Uganda kwao, kwa kweli waganda wametuponza sana nawalaumu sana, kwa nn wametufanyia hivi kwa nn hatujafungwa? Nilisikitka sana nilipokuwa nawaona watanzania wanavimba kichwa kwa timu mbovu sio mbovu kwa kukosa wachezaji wazuri, ila mbovu kwa kuwa na makocha washauri wengi katika uteuzi wa kikosi, watanzania hatuna umaskini wa wachezaji ila tuna umaskini wa uteuzi tu,
 
Back
Top Bottom