Niliwambia kuwa "Chadema ni genge la wahuni" mkanitukana. Haya sasa kiko wapi?

Niliwambia kuwa "Chadema ni genge la wahuni" mkanitukana. Haya sasa kiko wapi?

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi.

Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo.

Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh mwenyekiti naye kala......mara ohh wenje naye kalamba.......mara oohh chama chote wameshakula umebaki wewe lisu!!!!!

Wenye akili tafakarini vizuri, je? kweli hawa viongozi tulio nao wanafaa kukiongoza chama?

Tuwe makini sana, viongozi wengi wa chadema wanakitumia chama ili tu kujinufaisha wao kiuchumi na sio kuwapigania wananchi. ndio maana tunamuona kiongozi wa juu anang'ang'ania kiti hataki kuachia sio jingine bali maslahi binafsi. Tafakari.

Kwa sasa sio tu Chadema imepasuka vipande vipqnde bali pia viongozi wake waliopo wananuka UFISADI na Rushwa. ndio maana tunawaona wanatuhumiana wenyewe kwa wenyewe kuhongwa na kula rushwa tena hadharani bila kificho. Huuu ni Ushahidi kuwa viongozi wa Chadema sio kama tunavyo waona wakizungumza, ndani wameoza na wananuka!!!
Kwa viongozi waliopo hakuna hata mmoja mwenye uhalali wa kimaadili wa kukikosoa chama Tawala, sio Mbowe wala kiongozi yeyote mwandamizi wa chama.wote wananuka uchafu, wamevunda na kupofuka macho, wanacho kifanya sasa ni kuwahadaa wanachama. tumia akili yako kutafakari.

Ushauri;
njia pekee kwa wanachadema ni kukisafisha chama kwa kuwaondoa viongozi wote walio husishwa na vitendo wasio na uadilifu, wala rushwa. haitaji ushahidi hilo, viongozi wa sasa wananuka na wanakinukisha chama uchafu, tuwaondoe.
 
Upinzani ukiwa na makandokando. Kutoboa ni ngumu Sana. Chama cha demokrasia, mwenyekiti kukaa madarakani miaka 20+ hii sio sawa.
 
Minyukano waliyonayo wanairahisicha michakato ya kuwakata kwenye uchaguzi mkuu.


CCM kuna uwezekano WA kutawala Hadi 2050
 
Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi.
Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo.
Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh mwenyekiti naye kala......mara ohh wenje naye kalamba.......mara oohh chama chote wameshakula umebaki wewe lisu!!!!!

wenye akili tafakarini vizuri, je? kweli hawa viongozi tulio nao wanafaa kukiongoza chama?

Tuwe makini sana, viongozi wengi wa chadema wanakitumia chama ili tu kujinufaisha wao kiuchumi na sio kuwapigania wananchi. ndio maana tunamuona kiongozi wa juu anang'ang'ania kiti hataki kuachia sio jingine bali maslahi binafsi. Tafakari.

Kwa sasa sio tu Chadema imepasuka vipande vipqnde bali pia viongozi wake waliopo wananuka UFISADI na Rushwa. ndio maana tunawaona wanatuhumiana wenyewe kwa wenyewe kuhongwa na kula rushwa tena hadharani bila kificho. Huuu ni Ushahidi kuwa viongozi wa Chadema sio kama tunavyo waona wakizungumza, ndani wameoza na wananuka!!!
Kwa viongozi waliopo hakuna hata mmoja mwenye uhalali wa kimaadili wa kukikosoa chama Tawala, sio Mbowe wala kiongozi yeyote mwandamizi wa chama.wote wananuka uchafu, wamevunda na kupofuka macho, wanacho kifanya sasa ni kuwahadaa wanachama. tumia akili yako kutafakari.

Ushauri;
njia pekee kwa wanachadema ni kukisafisha chama kwa kuwaondoa viongozi wote walio husishwa na vitendo wasio na uadilifu, wala rushwa. haitaji ushahidi hilo, viongozi wa sasa wananuka na wanakinukisha chama uchafu, tuwaondoe.
Hata ccm wako hivyo...sio hao tu.Unaandika nini wewe chawa !!
 
Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi.

Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo.

Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh mwenyekiti naye kala......mara ohh wenje naye kalamba.......mara oohh chama chote wameshakula umebaki wewe lisu!!!!!

Wenye akili tafakarini vizuri, je? kweli hawa viongozi tulio nao wanafaa kukiongoza chama?

Tuwe makini sana, viongozi wengi wa chadema wanakitumia chama ili tu kujinufaisha wao kiuchumi na sio kuwapigania wananchi. ndio maana tunamuona kiongozi wa juu anang'ang'ania kiti hataki kuachia sio jingine bali maslahi binafsi. Tafakari.

Kwa sasa sio tu Chadema imepasuka vipande vipqnde bali pia viongozi wake waliopo wananuka UFISADI na Rushwa. ndio maana tunawaona wanatuhumiana wenyewe kwa wenyewe kuhongwa na kula rushwa tena hadharani bila kificho. Huuu ni Ushahidi kuwa viongozi wa Chadema sio kama tunavyo waona wakizungumza, ndani wameoza na wananuka!!!
Kwa viongozi waliopo hakuna hata mmoja mwenye uhalali wa kimaadili wa kukikosoa chama Tawala, sio Mbowe wala kiongozi yeyote mwandamizi wa chama.wote wananuka uchafu, wamevunda na kupofuka macho, wanacho kifanya sasa ni kuwahadaa wanachama. tumia akili yako kutafakari.

Ushauri;
njia pekee kwa wanachadema ni kukisafisha chama kwa kuwaondoa viongozi wote walio husishwa na vitendo wasio na uadilifu, wala rushwa. haitaji ushahidi hilo, viongozi wa sasa wananuka na wanakinukisha chama uchafu, tuwaondoe.
CCM DAIMA
 
Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi.

Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo.

Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh mwenyekiti naye kala......mara ohh wenje naye kalamba.......mara oohh chama chote wameshakula umebaki wewe lisu!!!!!

Wenye akili tafakarini vizuri, je? kweli hawa viongozi tulio nao wanafaa kukiongoza chama?

Tuwe makini sana, viongozi wengi wa chadema wanakitumia chama ili tu kujinufaisha wao kiuchumi na sio kuwapigania wananchi. ndio maana tunamuona kiongozi wa juu anang'ang'ania kiti hataki kuachia sio jingine bali maslahi binafsi. Tafakari.

Kwa sasa sio tu Chadema imepasuka vipande vipqnde bali pia viongozi wake waliopo wananuka UFISADI na Rushwa. ndio maana tunawaona wanatuhumiana wenyewe kwa wenyewe kuhongwa na kula rushwa tena hadharani bila kificho. Huuu ni Ushahidi kuwa viongozi wa Chadema sio kama tunavyo waona wakizungumza, ndani wameoza na wananuka!!!
Kwa viongozi waliopo hakuna hata mmoja mwenye uhalali wa kimaadili wa kukikosoa chama Tawala, sio Mbowe wala kiongozi yeyote mwandamizi wa chama.wote wananuka uchafu, wamevunda na kupofuka macho, wanacho kifanya sasa ni kuwahadaa wanachama. tumia akili yako kutafakari.

Ushauri;
njia pekee kwa wanachadema ni kukisafisha chama kwa kuwaondoa viongozi wote walio husishwa na vitendo wasio na uadilifu, wala rushwa. haitaji ushahidi hilo, viongozi wa sasa wananuka na wanakinukisha chama uchafu, tuwaondoe.
Nadhani rushwa na ubadhirifu wa ccm ni mkubwa kuliko chadema labda uniambie wewe sio ccm.Ila kubwa ni kwamba jihuni kubwa na kihuni kidogodogo kinachofuatwafuatwa ili kisiharibu uh uni wa jihuni kubwa..
 
Nawahurumia vijana wanaotekwa na kuuwawa kwa kukipigania chama wakati nyuma ya pazia wamejaa mamluki wa CCM.Mungu awapumzishe kwa amani hamkujua mnachopambania.Kuna jamaa mmoja ni usalama namjua eti naye ni chadema damu damu anakosoa serikali kumbe poteza maboya.
 
Nadhani rushwa na ubadhirifu wa ccm ni mkubwa kuliko chadema labda uniambie wewe sio ccm.Ila kubwa ni kwamba jihuni kubwa na kihuni kidogodogo kinachofuatwafuatwa ili kisiharibu uh uni wa jihuni kubwa..

Soma vizuri kwa utulivu. andiko langu halina ushabiki, nimeleza hali ilivyo kwa sasa ndani ya CHADEMA, ambacho ndio chama kikuu cha upinzani nchini, viongozi wake ambao ndio wakosoaji wakuu wa Serikali...Leo hii tunawashuhudia wao wakilaumiana wenyewe kwa kulambishwa rushwa. na wakifika mbali zaidi wakisemana kuwa hakuna ambaye hajalamba ndani ya viongozi wa chadema!!! hao ndio viongozi unawategemea waikosoe Serikali kweli?!!!!
Maana yake ni kwamba mwenyekiti wa chama na genge lake wote wananuka!!!!!
Hakuna viongozi hapo.
 
Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi.

Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo.

Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh mwenyekiti naye kala......mara ohh wenje naye kalamba.......mara oohh chama chote wameshakula umebaki wewe lisu!!!!!

Wenye akili tafakarini vizuri, je? kweli hawa viongozi tulio nao wanafaa kukiongoza chama?

Tuwe makini sana, viongozi wengi wa chadema wanakitumia chama ili tu kujinufaisha wao kiuchumi na sio kuwapigania wananchi. ndio maana tunamuona kiongozi wa juu anang'ang'ania kiti hataki kuachia sio jingine bali maslahi binafsi. Tafakari.

Kwa sasa sio tu Chadema imepasuka vipande vipqnde bali pia viongozi wake waliopo wananuka UFISADI na Rushwa. ndio maana tunawaona wanatuhumiana wenyewe kwa wenyewe kuhongwa na kula rushwa tena hadharani bila kificho. Huuu ni Ushahidi kuwa viongozi wa Chadema sio kama tunavyo waona wakizungumza, ndani wameoza na wananuka!!!
Kwa viongozi waliopo hakuna hata mmoja mwenye uhalali wa kimaadili wa kukikosoa chama Tawala, sio Mbowe wala kiongozi yeyote mwandamizi wa chama.wote wananuka uchafu, wamevunda na kupofuka macho, wanacho kifanya sasa ni kuwahadaa wanachama. tumia akili yako kutafakari.

Ushauri;
njia pekee kwa wanachadema ni kukisafisha chama kwa kuwaondoa viongozi wote walio husishwa na vitendo wasio na uadilifu, wala rushwa. haitaji ushahidi hilo, viongozi wa sasa wananuka na wanakinukisha chama uchafu, tuwaondoe.
HAKUNA ULILOANDIKA JIPYA. LETENI MAMBO MAPYA WADAU.
 
Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi.

Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo.

Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh mwenyekiti naye kala......mara ohh wenje naye kalamba.......mara oohh chama chote wameshakula umebaki wewe lisu!!!!!

Wenye akili tafakarini vizuri, je? kweli hawa viongozi tulio nao wanafaa kukiongoza chama?

Tuwe makini sana, viongozi wengi wa chadema wanakitumia chama ili tu kujinufaisha wao kiuchumi na sio kuwapigania wananchi. ndio maana tunamuona kiongozi wa juu anang'ang'ania kiti hataki kuachia sio jingine bali maslahi binafsi. Tafakari.

Kwa sasa sio tu Chadema imepasuka vipande vipqnde bali pia viongozi wake waliopo wananuka UFISADI na Rushwa. ndio maana tunawaona wanatuhumiana wenyewe kwa wenyewe kuhongwa na kula rushwa tena hadharani bila kificho. Huuu ni Ushahidi kuwa viongozi wa Chadema sio kama tunavyo waona wakizungumza, ndani wameoza na wananuka!!!
Kwa viongozi waliopo hakuna hata mmoja mwenye uhalali wa kimaadili wa kukikosoa chama Tawala, sio Mbowe wala kiongozi yeyote mwandamizi wa chama.wote wananuka uchafu, wamevunda na kupofuka macho, wanacho kifanya sasa ni kuwahadaa wanachama. tumia akili yako kutafakari.

Ushauri;
njia pekee kwa wanachadema ni kukisafisha chama kwa kuwaondoa viongozi wote walio husishwa na vitendo wasio na uadilifu, wala rushwa. haitaji ushahidi hilo, viongozi wa sasa wananuka na wanakinukisha chama uchafu, tuwaondoe.

Kama Chadema ni genge la wahuni, Nyama vilivyobaki vi vibaka kabisa, na kiranja wao wa kijani
 
Taifa La wezi haliwezi kurekebishana.
Soma vizuri kwa utulivu. andiko langu halina ushabiki, nimeleza hali ilivyo kwa sasa ndani ya CHADEMA, ambacho ndio chama kikuu cha upinzani nchini, viongozi wake ambao ndio wakosoaji wakuu wa Serikali...Leo hii tunawashuhudia wao wakilaumiana wenyewe kwa kulambishwa rushwa. na wakifika mbali zaidi wakisemana kuwa hakuna ambaye hajalamba ndani ya viongozi wa chadema!!! hao ndio viongozi unawategemea waikosoe Serikali kweli?!!!!
Maana yake ni kwamba mwenyekiti wa chama na genge lake wote wananuka!!!!!
Hakuna viongozi hapo.
 
Kama wanagombana na kuumbuwawana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya UENYEKITI, sasa URAIS siwatachinjana mchana kweupe.
Chadema hawafai hata kuongoza kijiji.
 
Back
Top Bottom