Niliwamiseje?

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642
jamani wapendwa niliwamiss sana .nashukuru kwa wale waliokuwa wamenimiss na kunitakia heri na fanaka.
wiki tatu hizi nitazitumia kupitia thread zilizopita ili niji update
 
Reactions: Taz
Hebu kuja hapa nikukumbatie enhee namna hiyo sogea basi mamaaa...mbona unacheka na kukenua hovyo kama mwenyekiti wa Chama Cha Mauaji kashinda uchaguziii enhee give me a hug honey...
 
Hebu kuja hapa nikukumbatie enhee namna hiyo sogea basi mamaaa...mbona unacheka na kukenua hovyo kama mwenyekiti wa Chama Cha Mauaji kashinda uchaguziii enhee give me a hug honey...
nimetabasamujeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............u made ma night meeeen
 
ulipotea sana bana.....lakini Ivuga alisema ndio amekufungia......hivi amekuachia eeehhh......
 
Na sisi tulikumiss sana Aminata 9, lakini taarifa za mwisho tulizopata kutoka hapa ni kuwa MKuu wangu alikuwa amekufichwa - hahaha - Hongera na karibu tena jamvini.
 
jamani wapendwa niliwamiss sana .nashukuru kwa wale waliokuwa wamenimiss na kunitakia heri na fanaka.
wiki tatu hizi nitazitumia kupitia thread zilizopita ili niji update

Karibu aminata. . .
 
jamani wapendwa niliwamiss sana .nashukuru kwa wale waliokuwa wamenimiss na kunitakia heri na fanaka.
wiki tatu hizi nitazitumia kupitia thread zilizopita ili niji update

Karibu jamvini mkuu!
 
Na sisi tulikumiss sana Aminata 9, lakini taarifa za mwisho tulizopata kutoka hapa ni kuwa MKuu wangu alikuwa amekufichwa - hahaha - Hongera na karibu tena jamvini.
asante mkuu............kwakunikaribisha tena jamvini
 
Karibu, tumefurahi kukuona tena
 
jamani wapendwa niliwamiss sana .nashukuru kwa wale waliokuwa wamenimiss na kunitakia heri na fanaka.
wiki tatu hizi nitazitumia kupitia thread zilizopita ili niji update

Karibu tena...

Wiki tatu zipi sasa....?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…