Niliwaonya mno mlioshangilia Kifo cha Hayati Magufuli na Kumsimanga, haya nanyi sasa mnamfuata huko huko

Niliwaonya mno mlioshangilia Kifo cha Hayati Magufuli na Kumsimanga, haya nanyi sasa mnamfuata huko huko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani unapata tu Taarifa za Msiba wa Hayati Magufuli haraka sana unatoka Kijijini Kwenu na kuwahi Mjini kisha unandaa Sherehe Kubwa Nyumbani Kwako huku muda Wote katika Sherehe Wewe ni Kumsema tu Hayati Magufuli.

Haya Kiko wapi sasa? Tubuni haraka.
 
Yaani unapata tu Taarifa za Msiba wa Hayati Magufuli haraka sana unatoka Kijijini Kwenu na kuwahi Mjini kisha unandaa Sherehe Kubwa Nyumbani Kwako huku muda Wote katika Sherehe Wewe ni Kumsema tu Hayati Magufuli.

Haya Kiko wapi sasa? Tubuni mno.
Watakufa wote tena kifo kibaya SANA machozi ya watanzania hayata waacha sawa

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watakufa wote tena kifo kibaya SANA machozi ya watanzania hayata waacha sawa

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
machozi ya watanzani wepi, na wale walioweka sherehe siyo watanzania. Acheni kuwayawaya hata wewe huijui kesho yako. Kila mtu na hisia zake, km alionewa na kunyanyaswa na Magufuli asifurahie? heshimu hisia zako hakuna cha machozi.
 
Yaani unapata tu Taarifa za Msiba wa Hayati Magufuli haraka sana unatoka Kijijini Kwenu na kuwahi Mjini kisha unandaa Sherehe Kubwa Nyumbani Kwako huku muda Wote katika Sherehe Wewe ni Kumsema tu Hayati Magufuli.

Haya Kiko wapi sasa? Tubuni mno.
tumechoka na huu upumbavu wenu kila siku Magufuli, yule ameshaoza anatumikia adhabu ya kaburi, Zitto aliwaambia km mnampenda sana mfuateni aliko. Au hamjui njia ya kwenda kule? Mbona simple tu.
 
Wacha tufurahie tu lile zimwi lilizidisha
Bora huyu hata umri wake si haba
 
Back
Top Bottom