Kwanza wewe Katkit au Kitkat? [emoji38]
Thank u Love 🥰
Usijali. Najitahidi kuandika na kumaliza ili nitume kwa mikupuo. Mwenye nayo asije dhani nimepuuzia.
Nami umenipa mwanga,Asante mkuuTagging ni simpo sana, we andika anza na alama ya @ ikifiatiwa na jina la unaetaka kumtag. Angel Nylon
karibu mkuuNami umenipa mwanga,Asante mkuu
Mbona umeweza, hongera
Kila kitu nimeshakiandika kama nilivyokisikia ila kuyapangilia haya mambo kuleta mtiririko wa matukio unaoeleweka ndiyo changamoto, kama unavyojua mtu akikusimulia kutoka kichwani ni tofauti na ikiwa katika maandishi, yeye atakusimulia kadiri vinavyokuja na kuvikumbuka, sasa wewe unayesimuliwa ndo' unabaki na kazi ya kupanga na kupangilia maana kwenye maandishi hamna cha kusema "alafu kuna kitu nimesahau, siku moja ..." Au "ngoja kuna kitu nimeruka hapo." Kama vile afanyavyo anayesimulia.Japo hatukulipi lakini ulimaanisha nini uliposema kinaelekea mwisho,ilikua masimulizi au kutype? Maana inachosha sana unaturudisha enzi magazeti ya shingongo yanatamba ile kusubiria simulizi zake. Inabidi nistaafu kufatilia ongoing stories.
Hii quote ipo kule kwa big wa goba
Ahsante Firdaus🙏
Asante boss,tupe vitu chapchap,Ni story nzuri Ila,mhhhhKila kitu nimeshakiandika kama nilivyokisikia ila kuyapangilia haya mambo kuleta mtiririko wa matukio unaoeleweka ndiyo changamoto, kama unavyojua mtu akikusimulia kutoka kichwani ni tofauti na ikiwa katika maandishi, yeye atakusimulia kadiri vinavyokuja na kuvikumbuka, sasa wewe unayesimuliwa ndo' unabaki na kazi ya kupanga na kupangilia maana kwenye maandishi hamna cha kusema "alafu kuna kitu nimesahau, siku moja ..." Au "ngoja kuna kitu nimeruka hapo." Kama vile afanyavyo anayesimulia.
Nilisomaga Visa vyako,Safi Sana tuongezee vingine mkuu km inawezekanaNilisoma episode ya mwanzo, Kisha nikaingia mitini. Ngoja niendelee. Ntakushtua ikiisha
Asante sana dear Luv Nimefika