azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Big alikuwa anatutisha Hadi Kwa mbali.....Kuna siku nilihisi ananichungulia dirishani, nikaweka pazia vizuri
Huwezi amini ndio naiona story leo, anyway ngoja nipate ladha halisi.
Sasa sijui kaacha kivuli ili waone kams bado yupo hai halafu akafie mbele uko.Dah kumuua mtu ndotono !!!!!
Story inazidi kuwa tamu!!
Ngoja tuone
Eti ilikua ndoto mkuu ngoja akituma muendelezo Tutaona!Sasa sijui kaacha kivuli ili waone kams bado yupo hai halafu akafie mbele uko.
Kumbe ndoto tu jamani!!!Hii Episode Steve umetupeleka kama Chama mwamba wa Lusaka, ukagushi kama unapiga tukajaa kwamba Zai kavuta kumbe [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata akishusha Epsode 2 ukisoma ukamaliza utasema akiongeza nyingine tena itakuwa poaLeo akiongeza 2 episodes itakua vizuri
Amiri simuamini kabisaEti ilikua ndoto mkuu ngoja akituma muendelezo Tutaona!
Kweli Kabisa Amiri nukseee!!Amiri simuamini kabisa
Kumbe ndoto tu jamani!!!
Ila na mazamkwe si aliota ivoivo siku si nyingi akadedi [emoji3526]
Ngoja tuone!
Aweke ata yote mimi fresh tu na akimaliza akaanza nyingine mpya sawa pia 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata akishusha Epsode 2 ukisoma ukamaliza utasema akiongeza nyingine tena itakuwa poa