Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Good
 
Hivi kati ya Amiri na Big nani mnoma?, binafsi Big alikua anafanya naogopa kusoma story nikiwa pekeangu room hasa nyakati za usiku
Ivi stori ya big ilikuwa inaitwajee? Nataka niirejee maana nilisoma mwanzo tu!
 
Kaka bure ghali..si unaona kila saa mnapiga misele hapa kama kaweka..yan hamchez mbali kama unga robo vile![emoji23][emoji23]

Daah! Kausha basi [emoji23] arosto inatupigisha misele afu mwamba Steve hana habari na sisi huku, noma sana
 
Ndio, ila hapa binafsi alinihamisha akili kabisa, alipokuja kusema ni ndoto…..anajua kuandika sana
Yeah stivu yuko unique sana katika story zake hata the way anavoandika tu!!
Unakuta kashusha paragraphs weeeee then mstari mmoja tu

kwani,



Afu anaendelea dahh mwamba anajua!
 
Daah! Kausha basi [emoji23] arosto inatupigisha misele afu mwamba Steve hana habari na sisi huku, noma sana
Ahahahah naskia Steve anaonekana huko jukwaa la michezo anarukaruka tuuu yuko active kinoma ... Shunie anapishana nae huko ila hapa kawapa kisogo..Ndio maana nasema njoon kwenye group huku kashatupia episode zote tumemalizaa
 
Ahahahah naskia Steve anaonekana huko jukwaa la michezo anarukaruka tuuu yuko active kinoma ... Shunie anapishana nae huko ila hapa kawapa kisogo..Ndio maana nasema njoon kwenye group huku kashatupia episode zote tumemalizaa
[emoji1787]
 
Kujiunga kwa group ni buk 3 tuu..ukiwa tayari nichek pm..Kama hutak ma grou nakuuzia episode 2 kwa buku..muna episose kama 10 mpaka stori kuisha
[emoji23] wee utatuuzia ngapi? Watu wenyewe hatuishi arosto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…