Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Ila wabongo ni konyo sana, imagine mtu kaanzisha simulizi kwa hiyari yake, kosa lake kuchelewa kupandisha mwendelezo tu kakutana na matusi na vichambo vya kila aina. Huwa nacheka sana nikiufungua huu uzi. Watu hata hawajal alikua anakutana changamoto gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…