Niliyoyaona Simba vs Coastal, leo Machi 1, 2025

Niliyoyaona Simba vs Coastal, leo Machi 1, 2025

Rocco sifredi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
100
Reaction score
197
1. Ally Salim kajitahidi leo pamoja na kukaa mbao ndefu muda mrefu bravo kwake beki zetu za kati marking mbovu back passes aaah kwa timu inayoshambulia kwa kasi kama yanga kazi itakuwepo

2. Mavambo kajitahidi sikuona sababu ya sub ya ngoma backbass zikawa nyingi kama alitaka kufanya mabadiliko walau angeingia Okejepha

3. Awesu kajitahidi japo anachezea chini sana eneo ambalo mavambo alikuwepo angesubiri apewe pasi make ilisababisha timu ikakosa kulink chini na eneo la ushambuliaji make aliingia kucheza kama namba 10

4. Nouma sijui leo alikuwaje ila performance yake naona ilikua chini labda uwanja ndo sababu

5. Mukwala kiwango cha leo nafikiri ndo straika anatakiwa kua hivi nafasi hiyo hiyo anakumaliza sio kama ateba amekua anafanya mechi chache zilizopita

6. Mutale kwa mbaliii anaanza kurudi nafikiri akipewa muda anaweza kuimprove zaidi ahoua nasemaga siku zote tuna naomba 10 ambaye kipaumbele chake ni kufunga ambaye anasubiri fouls na penalties na si kuchezesha straika wake Simba wanatakiwa kua makini katika hili.

Soma Pia: FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

All in all timu imeshinda lakini timu inaridhika mapema wanaanza kucheza mipira ya nyuma binafsi hamna kitu kinanikera kama timu kucheza back passes zisizo na sababu

Alivyoingia ngoma timu ikawa kama imefungulia kurudisha mipira nyuma sijui ndo maelekezo ya fadlu ila tunatakiwa kujiangalia sana kwenye hili
 
Umeandika vizuri.
Pia nashauri mashabiki msiwe mnawavunja moyo wachezaji na kuwakatia tamaa.
Mfano Kuna watu walikua wanamlaumu Mukwala na kutaka aachwe lkn siku za hivi karibuni ame wa prove wrong.
Katika maisha kuna siku mbaya na siku nzuri.
Hata Ateba atarudi TU
Mpanzu anakuja juu.
Iko siku Joshua Mutale ataanza kufunga.
Mpira wa Afrika una mambo mengi sana nje ya uwanja.
 
Eti Kila mchezaji amejitahidi..unaona hasara kutumia neno amecheza vizuri...?!
 
Mutale ni Mchezaji mzuri atengenezwe tu kisaikolojia na aendelee kupata game time.
 
5. Mukwala kiwango cha leo nafikiri ndo straika anatakiwa kua hivi nafasi hiyo hiyo anakumaliza sio kama ateba amekua anafanya mechi chache zilizopita

6. Mutale kwa mbaliii anaanza kurudi nafikiri akipewa muda anaweza kuimprove zaidi ahoua nasemaga siku zote tuna naomba 10 ambaye kipaumbele chake ni kufunga ambaye anasubiri fouls na penalties na si kuchezesha straika wake Simba wanatakiwa kua makini katika hili
Nadhani kuna umuhimu wa kumchezesha Mpanzu kama 10 halafu Mukwala na Ateba wawe wanacheza pamoja. Ahoua ukiacha penati zake ni mzinguaji tu.

Kwa sasa first 11 ya Simba inatakiwa kuwa. Hiki ndiyo kikosi cha kuipa Simba ubingwa msimu huu.
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Malone
5. Hamza
6. Kagoma
7. Kibu
8. Fernandez
9. Ateba
10. Mpanzu
11. Mukwala

Mutale angetolewa kwa mkopo dirisha dogo akaletwa striker wa kusaidiana na kina Ateba.
 
Sawa Utopolo..!Lzm ucomment hapa kwamba na sie tupo!

Kinachowauma sasa ubingwa ni kama vile Upo rehani.!

Na pia Kimataifa mmegota Makundi..hamjatoboa robo..
Yaani mpaka mwakani..! Inaumaje..?

Next Season, Usajili consider age p'se!
Maneno haya uje uyarudie tar 08
 
Nadhani kuna umuhimu wa kumchezesha Mpanzu kama 10 halafu Mukwala na Ateba wawe wanacheza pamoja. Ahoua ukiacha penati zake ni mzinguaji tu.

Kwa sasa first 11 ya Simba inatakiwa kuwa. Hiki ndiyo kikosi cha kuipa Simba ubingwa msimu huu.
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Malone
5. Hamza
6. Kagoma
7. Kibu
8. Fernandez
9. Ateba
10. Mpanzu
11. Mukwala

Mutale angetolewa kwa mkopo dirisha dogo akaletwa striker wa kusaidiana na kina Ateba.
Nimecheka kama mazuri, hiki kikosi chako hakina balansi kitapigwa hadi kichakae.
 
Sawa Utopolo..!Lzm ucomment hapa kwamba na sie tupo!

Kinachowauma sasa ubingwa ni kama vile Upo rehani.!

Na pia Kimataifa mmegota Makundi..hamjatoboa robo..
Yaani mpaka mwakani..! Inaumaje..?

Next Season, Usajili consider age p'se!
Mtani ndo nimejua kumbe kikao cha mwisho sikuwepo, kumbe kwenye kikao mliamua uto haturuhisiwi kucomment nyuzi za mbeleko fc?

Hata pale refa alipompa Chamou yellow card badala ya red kwa kuwa alifanya faulo akiwa beki wa mwisho akimzuia Maabad kwenda kumtungua Ally Salim?

Tukutane tar 8 tukae pamoja mzunguko!
 
Back
Top Bottom